TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

Huyu mleta uzi kama aliweconnect tv tena ya 2m direct basi ana upumbavu wa kiwango cha juu sana!

mkuu nilipewa TV gurd buureee kama offer ya manunuz nimeiweka apo ukutan lakn waaap
 
Unanunuaje tv ya 2m unashingwa nunua guide ya 80,000?

mkuu sio 80 tu ipo ya 150k lakn nayo haijaelew kilichotojea mkuu umeme umerud mwing vibaya san mpk soket brek ikakata huko pengine madhara yangeongezek
 
Tabia za kimbea hizi, kwani tv ya 2m inaitaji mtu wa aina gani? Kuna wauza nyama hawajui kusoma wana Hardtop za 200m, mjinga kweli wewe

kanichukulia mshamba kwamb naend nunua TV nisioijua
 
mkuu sio 80 tu ipo ya 150k lakn nayo haijaelew kilichotojea mkuu umeme umerud mwing vibaya san mpk soket brek ikakata huko pengine madhara yangeongezek


Then huu ni uongo, unajua guard inavyofanya kazi?????? Pumbavu kabisa, hairuhusu umeke uende moja kwa moja kwenye tv.

Ndo maana ina red, orange and green, na zote hizo uchukua mda just incase pana zarura, sasa basi, nachosema....

Kama umeme umerudi, na umeishia kwenye circuit breaker ukawaka, ikakata ina maana imeme wenye hiyo zoruba hauwezi ifiokia tv kwa sababubta timing ya red, orange na green.

Natangaza rasmi, uzi ufungwe hii ni:
 

Attachments

  • 2395f74b20b2a69f25a4c4066064d6a8-833164857.gif
    2395f74b20b2a69f25a4c4066064d6a8-833164857.gif
    1.5 MB · Views: 3
Then huu ni uongo, unajua guard inavyofanya kazi?????? Pumbavu kabisa, hairuhusu umeke uende moja kwa moja kwenye tv.

Ndo maana ina red, orange and green, na zote hizo uchukua mda just incase pana zarura, sasa basi, nachosema....

Kama umeme umerudi, na umeishia kwenye circuit breaker ukawaka, ikakata ina maana imeme wenye hiyo zoruba hauwezi ifiokia tv kwa sababubta timing ya red, orange na green.

Natangaza rasmi, uzi ufungwe hii ni:

Tuanze kunywa asubuh ishafika
 
Tabia za kimbea hizi, kwani tv ya 2m inaitaji mtu wa aina gani? Kuna wauza nyama hawajui kusoma wana Hardtop za 200m, mjinga kweli wewe
[emoji3][emoji3] tatizo nchi ina umaskini mkubwa sana, kitu cha kawaida mtu anakwambia chai, unabaki unacheka!
 
Mkuu zile tv guard ni za 15k usije ukafanya huo ujinga siku nyingine!
nimeshauriw nitumie kifaa kinaitwa AVR japo alieniuzia TV anasem haijaungua ni imezima cjui nn uko kun kakifaa kipo kw TV kinapima umeme ukizid kinaungua icho tu badala ya TV nzima hapa nampelekea kikabadilishwe
 
nimeshauriw nitumie kifaa kinaitwa AVR japo alieniuzia TV anasem haijaungua ni imezima cjui nn uko kun kakifaa kipo kw TV kinapima umeme ukizid kinaungua icho tu badala ya TV nzima hapa nampelekea kikabadilishwe
Safi. Ukifanikiwa tupe mrejesho
 
Kila siku mnaambiwa nunueni AVR,hizo TV guard zenyewe ni utopolo mtupu.

AVR ya 1.5KVA utalinda vifaa hata vitatu ambavyo ni sensitive to electrical surge.
Avr ni nini?
 
Si ungesema nikupe hii stablizer ya mjerumani dingi aliniachiaga asee dingi akikuta stablizer haitumiki vitu vipo direct ni atawaka na anavyotoa macho ka jambazi
 
Nikajua hii Leo kwetu tu kumbe na huko ,....
Ni mwendo wa
kata washa .....
Washa kata.....
Katakata washa.....
Washa katakata......
Washa kata washa .....
Washa kata Zima kata.......
Kataaaa halafu Zima washa....
[emoji706]

Hivi wanafunzi wa field wamesharudi vyuoni??
 
Back
Top Bottom