TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

Tv guard nzuri ni powermatic 7. Hii hata ukiigonga gonga inakata moto. Ukiitikisa tu inakata. Hata zile za tronic sio nzuri sijawahi ona zikijizima
 

Attachments

  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    8 KB · Views: 12
  • P6CE_V3_a84e53d8-bdfc-42b1-b32e-7fb8dabd7e30_grande.png
    P6CE_V3_a84e53d8-bdfc-42b1-b32e-7fb8dabd7e30_grande.png
    27.4 KB · Views: 9
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    29.4 KB · Views: 11
Ndani ya dakika 5 umekatwa umeme na kurudi mara 3 TV yangu Imeungua.

Mnajichukuliaje?

Maji mpaka mafuriko ila mnakata umeme.

MREJESHO BAADA YA MADHARA
nimeshauriw nitumie kifaa kinaitwa AVR/surge protector japo alieniuzia TV anasem haijaungua ni imezima cjui nn uko kun kakifaa kipo kw TV wanajua wenyew wataalam kinapima umeme ukizid kinaungua icho tu badala ya TV nzima hapa nampelekea kikabadilishwe
Upumbavu ni kununua tv ya 2m!
Jiwekee hazina Mbinguni, acha ujinga!
 
Ndani ya dakika 5 umekatwa umeme na kurudi mara 3 TV yangu Imeungua.

Mnajichukuliaje?

Maji mpaka mafuriko ila mnakata umeme.

MREJESHO BAADA YA MADHARA
nimeshauriw nitumie kifaa kinaitwa AVR/surge protector japo alieniuzia TV anasem haijaungua ni imezima cjui nn uko kun kakifaa kipo kw TV wanajua wenyew wataalam kinapima umeme ukizid kinaungua icho tu badala ya TV nzima hapa nampelekea kikabadilishwe
Unatumia Vifaa vya Electronics bila ya protection? Not Wise Mimi mfumo wangu wa vitu vya Electronics kutoa pasi na vyakupigia umepitia kwenye Stabilizer, stabilizer zipo za size tofauti tofauti calculate total wattage ya vifaa vyako nenda kanunue kabla hujalia tena.
 
Mimi nina stabilizer nina tv guard lakin juzi tv yang samsung inches 43 imeungua pia.kinachozingua ni surge.stabilizer,tv guard ni utopolo tu.
 
Mkuu zile tv guard ni za 15k usije ukafanya huo ujinga siku nyingine!
mbona mim nimepachika guard ya 15k na mambo yanaenda fresh tu? Umeme ukiingia kwa kasi vifaa vinajizima direct. Kabla ya hapo nimeunguza sana nikiamin zile extention zenye gad kwamba zinaweza kucontrol moto.
 
Najiuliza hili shirika kwann tusiwape hata wakenya waliendeshe?Maana ni shamba la bibi,shirika linaloongoza kuwa na vishoka,viongozi wake hawana maono,na nasikitika tuliwasomesha vyuo Kwa Kodi yetu.
 
Tv guard nzuri ni powermatic 7. Hii hata ukiigonga gonga inakata moto. Ukiitikisa tu inakata. Hata zile za tronic sio nzuri sijawahi ona zikijizima
AVR
 

Attachments

  • IMG_20231207_125110_5.jpg
    IMG_20231207_125110_5.jpg
    341.2 KB · Views: 11
Ukilipwa wewe utakuwa mtanzania wa kwanza kulipwa

Ova
 
Back
Top Bottom