Tanesco Morogoro mnakera sana kwa kutowaunganishia wateja wenu umeme kwa wakati

Tanesco Morogoro mnakera sana kwa kutowaunganishia wateja wenu umeme kwa wakati

Dodoma leo

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
1,336
Reaction score
1,658
Mimi ni mteja wenu hapa morogoro. Nilianza kuanza process za kuomba kuunganishiwa umeme toka December mwaka Jana.

Mwezi wa Tano nilifanikiwa kulipa huduma ya kupata umeme sehemu inaayohitaji nguzo Moja na nikapewa Muda wa mwezi mmoja Kuwa tayari nitakuwa nimeshafikiwa.

Mwezi ukapita, nikaenda tanesco nikakutana na afisa akaniambia Tena nisubiri Wiki mbili nitakuwa nimefikiwa.

Sasa Wiki mbil zimepita nikarudi ofisin nikaambiwa Tena kuna changamoto zimejitokeza eti nisubiri miezi miwili nitakuwa nimefikiwa. Like serious? Na ofisa anajibu hana hta huruma au kuguswa na hili Jambo.

Leo tanesko inatumia rasilim kubwa ya fedha kuitangaza app yake ya nikonect mabillion yanatumika lakni inashindwa Kutatua changamoto ndogo kama ya kuunganisha sehemu ya nguzo Moja. Inakkera Sana.

Tanesco badilikeni Kwa kweli hii si zama za kufanya biashara as business as usual. Na mnakwamisha jitihada kubwa ya Serikali katika kuwahudumia wananchi wake.

Nisaidieni kuwa-tag tanesco.
 
Mimi ni mteja wenu hapa morogoro. Nilianza kuanza process za kuomba kuunganishiwa umeme toka December mwaka Jana.

Mwezi wa Tano nilifanikiwa kulipa huduma ya kupata umeme sehemu inaayohitaji nguzo Moja na nikapewa Muda wa mwezi mmoja Kuwa tayari nitakuwa nimeshafikiwa.

Mwezi ukapita, nikaenda tanesco nikakutana na afisa akaniambia Tena nisubiri Wiki mbili nitakuwa nimefikiwa.

Sasa Wiki mbil zimepita nikarudi ofisin nikaambiwa Tena kuna changamoto zimejitokeza eti nisubiri miezi miwili nitakuwa nimefikiwa. Like serious?? Na ofisa anajibu hana hta huruma au kuguswa na hili Jambo.

Leo tanesko inatumia rasilim kubwa ya fedha kuitangaza app yake ya nikonect mabillion yanatumika lakni inashindwa Kutatua changamoto ndogo kama ya kuunganisha sehemu ya nguzo Moja. Inakkera Sana. Tanesko badilikeni Kwa kweli hii si zama za kufanya biashara as business as usual. Na mnakwamisha jitihada kubwa ya serikal katika kuwahudumia wananchi wake.

Nisaidien Kuwa tag tanesko.
Ndugu Mteja!
Usihuzunike, usiumie TANESCO ipo kukusikiliza na kukupatia huduma, Tafadhali onesha Namba ya ombi lako au namba ya simu na sisi tutakupatia huduma husika.
TANESCO Huduma kwa Wateja
Makao Makuu
0748550000
Nikonekt Kilichobora kutoka TANESCO.
 
Ndugu Mteja!
Usihuzunike, usiumie TANESCO ipo kukusikiliza na kukupatia huduma, Tafadhali onesha Namba ya ombi lako au namba ya simu na sisi tutakupatia huduma husika.
TANESCO Huduma kwa Wateja
Makao Makuu
0748550000
Nikonekt Kilichobora kutoka TANESCO.

Nyie nyieee mnavyojibu hapa mtu anaweza kudhani mpo serious, binafsi nishawachoka siku mkiamua kuniunganishia sawa mkiona haifai poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwangu hawajaunganisha tangu mwaka jana wameweka nguzo
Tupo watu zaid ya 90 hawajapitisha nyaya
Tunaumia sana
 
Nyie nyieee mnavyojibu hapa mtu anaweza kudhani mpo serious, binafsi nishawachoka siku mkiamua kuniunganishia sawa mkiona haifai poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuandika hapa hakukupi haki ya kuunganishiwa kabla ya waliolipia mbele yako ndio maana tupo kukusikuliliza na kukuhudumia, tafadhali onyesha namba ya ya ombi au namba ya simu kwa hatua zaidi.
 
Mimi ni mteja wenu hapa morogoro. Nilianza kuanza process za kuomba kuunganishiwa umeme toka December mwaka Jana.

Mwezi wa Tano nilifanikiwa kulipa huduma ya kupata umeme sehemu inaayohitaji nguzo Moja na nikapewa Muda wa mwezi mmoja Kuwa tayari nitakuwa nimeshafikiwa.

Mwezi ukapita, nikaenda tanesco nikakutana na afisa akaniambia Tena nisubiri Wiki mbili nitakuwa nimefikiwa.

Sasa Wiki mbil zimepita nikarudi ofisin nikaambiwa Tena kuna changamoto zimejitokeza eti nisubiri miezi miwili nitakuwa nimefikiwa. Like serious? Na ofisa anajibu hana hta huruma au kuguswa na hili Jambo.

Leo tanesko inatumia rasilim kubwa ya fedha kuitangaza app yake ya nikonect mabillion yanatumika lakni inashindwa Kutatua changamoto ndogo kama ya kuunganisha sehemu ya nguzo Moja. Inakkera Sana.

Tanesco badilikeni Kwa kweli hii si zama za kufanya biashara as business as usual. Na mnakwamisha jitihada kubwa ya Serikali katika kuwahudumia wananchi wake.

Nisaidieni kuwa-tag tanesco.
Ndugu Mteja

Bado tunasubiri taarifa za lalamiko lako kwa hatua zaidi kwa kuwa ni haki yako kupata huduma.
 
Poleni sana, ngoja waje kukuomba muongozo wa location na number ya simu...
 
Kuandika hapa hakukupi haki ya kuunganishiwa kabla ya waliolipia mbele yako ndio maana tupo kukusikuliliza na kukuhudumia, tafadhali onyesha namba ya ya ombi au namba ya simu kwa hatua zaidi.

Ndio maana siwezi kutuma taarifa zangu hapa maana nyie ni wapuuzi tu kama wapuuzi wengine sasa ofisi zenu za eneo nililopo zinashindwa kuhudumia leo nitume details zangu JF ambako natumia fake ID ndo nihumiwe?

Boresheni huduma Tanesco bado kimeo sana hata app yenu kimeo nikijaribu kuangalia status ya ombi langu Oops!!
 
Ndio maana siwezi kutuma taarifa zangu hapa maana nyie ni wapuuzi tu kama wapuuzi wengine sasa ofisi zenu za eneo nililopo zinashindwa kuhudumia leo nitume details zangu JF ambako natumia fake ID ndo nihumiwe?

Boresheni huduma Tanesco bado kimeo sana hata app yenu kimeo nikijaribu kuangalia status ya ombi langu Oops!!
Hunitukani mimi ila I suggest ungepunguza ukali wa maneno mkuu

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Umelipia mwezi wa tano mwaka huu unalialia, kunawezio wamelipia mwaka jana na bado hawajauona mkono wa bwana.
 
Siyo TANESCO Morogoro tu, TANESCO nchi nzima iko hivyo, hili shirika serikali ilipaswa kulibinafsisha au kuruhusu watu binafsi wazalishe na kusambazia watu umeme kama ilivyo kwa mitandao ya simu. Fikiria hadi leo tungekuwa na TTCL pekee yake ingekuwaje?, Miaka 60 ya uhuru bado vijijini watu wako gizani, ukienda kuomba umeme zaidi ya nguzo tatu wanakwambia huo ni miradi watakuhesabia mamilioni na mwananchi wa kawaida kama mkulima hata milioni moja hajawahi kushika, maana wanasema nguzo hamna wakati miti tunalima wenyewe. Sina hamu na TANESCO katika maisha yangu yote
 
Ndio maana siwezi kutuma taarifa zangu hapa maana nyie ni wapuuzi tu kama wapuuzi wengine sasa ofisi zenu za eneo nililopo zinashindwa kuhudumia leo nitume details zangu JF ambako natumia fake ID ndo nihumiwe?

Boresheni huduma Tanesco bado kimeo sana hata app yenu kimeo nikijaribu kuangalia status ya ombi langu Oops!!
Kuna uwezekano taarifa zako si za kweli na pengine ni za kihistoria zaidi,sasa kuna uzito gani kutuma hizo taarifa ukizóombwa badala ya kuendelea kulalamika na kutoa maneno machafu?
Ukituma hizo taarifa utakuwa ktk nafasi bora zaidi ya kusema unayoyasema baadae.
 
Ndio maana siwezi kutuma taarifa zangu hapa maana nyie ni wapuuzi tu kama wapuuzi wengine sasa ofisi zenu za eneo nililopo zinashindwa kuhudumia leo nitume details zangu JF ambako natumia fake ID ndo nihumiwe?

Boresheni huduma Tanesco bado kimeo sana hata app yenu kimeo nikijaribu kuangalia status ya ombi langu Oops!!
Hata ungeanika humu kama hawajataka kukuhudumia hawawezi, niliomba kupelekewa u eme sehemu ambako kuna umbali wa nguzo zipatazo 11, nimehangaika huu mwaka wa tano sijapata umeme. Hili shirika basi tu lakini serikali iangalie namna ya kulibadilisha.
 
Umelipia mwezi wa tano mwaka huu unalialia, kunawezio wamelipia mwaka jana na bado hawajauona mkono wa bwana.
We unataka Nika muda gan ndo nismë ndugu. Kila mtu ana uwezo wake wa kuhimili KERO. We endelea kusubiri mwaka uishe nDo uanze kulàlamika.
 
Ndugu Mteja

Bado tunasubiri taarifa za lalamiko lako kwa hatua zaidi kwa kuwa ni haki yako kupata huduma.
Nimeamini tanesco nchi zima mko saresare MaUa..

Mosi Nimewapigia kuuliza suàla langu. Cha ajabu huyu muhudumu hakutaka kujua hta natokea morogoro seem Gani?
Pili akanambia kama tanesco mkoa coz me Niko hapa manispaa wamenijibu nisubirie miez miwili wenyewe hawawez kulazimisha eti nipate huduma mapema Kwa Sababu hawa ndo wenye bajeti na wanajua Hali iliyopo.

Sasa najiuliza hii customer care kaz yake ni Nini? Kwa Nini wasjipe hata Muda wa kufuatilia ombi la mteja na changmoto yKe ni Nini? Ili mteja apate jibu la uhakika.

Nimeungana na wasomaji wengine Kuwa tanesco hamna Msaada wowote ulë Kwa wateja wenu Hasa wakikwama Huku chini.

Ngja niendlee kuhesab siku. Kwani najua hata hii miez miwili inaweza Kuwa ngumu.

Ila najuta hii hela ningefanyia Jambo lingne tu. Investment nzur yoyote ni Ile inayoenda vizur kulingana na timeline ya mwekezaji.

Ngja niendlee kusikiliza matangazo ya nikonect tu
 
Mi nililipa tareh 1mwez wa sita tareh 10huo mwez wa sita wakaja wenyewe kufunga nipo korogwe mjini tanga
 
Kuna uwezekano taarifa zako si za kweli na pengine ni za kihistoria zaidi,sasa kuna uzito gani kutuma hizo taarifa ukizóombwa badala ya kuendelea kulalamika na kutoa maneno machafu?
Ukituma hizo taarifa utakuwa ktk nafasi bora zaidi ya kusema unayoyasema baadae.

Wala sitawatumia lolote hawa nawapa za uso tu
Wanaudhi sana Tanesco, huyo Surveyor wao hata kukagua hajawahi kuja, tumeenda several times wanatwambia linafanyiwa kazi
Tanesco mnaudhi nyie ningekuwa na mamlaka ningefumua hiyo taasisi tuanze upya
 
Back
Top Bottom