Tanesco Morogoro mnakera sana kwa kutowaunganishia wateja wenu umeme kwa wakati

Tanesco Morogoro mnakera sana kwa kutowaunganishia wateja wenu umeme kwa wakati

Ndio maana siwezi kutuma taarifa zangu hapa maana nyie ni wapuuzi tu kama wapuuzi wengine sasa ofisi zenu za eneo nililopo zinashindwa kuhudumia leo nitume details zangu JF ambako natumia fake ID ndo nihumiwe?

Boresheni huduma Tanesco bado kimeo sana hata app yenu kimeo nikijaribu kuangalia status ya ombi langu Oops!!
Tunaahidi kulifanyia kazi kama utatoa ushirikiano hata kwa kutuma taarifa inbox au Sms namba 0714219598

Tupo kukusikiliza na kukuhudumia
 
Siyo TANESCO Morogoro tu, TANESCO nchi nzima iko hivyo, hili shirika serikali ilipaswa kulibinafsisha au kuruhusu watu binafsi wazalishe na kusambazia watu umeme kama ilivyo kwa mitandao ya simu. Fikiria hadi leo tungekuwa na TTCL pekee yake ingekuwaje?, Miaka 60 ya uhuru bado vijijini watu wako gizani, ukienda kuomba umeme zaidi ya nguzo tatu wanakwambia huo ni miradi watakuhesabia mamilioni na mwananchi wa kawaida kama mkulima hata milioni moja hajawahi kushika, maana wanasema nguzo hamna wakati miti tunalima wenyewe. Sina hamu na TANESCO katika maisha yangu yote
JE umelipia lini? Namba yako ya simu tafadhali
 
JE umelipia lini? Namba yako ya simu tafadhali
Mimi pia niliomba kuunganishiwa umeme online sijapata control number nikalipie hadi sasa. Surveyor alishapima na ilioneka wire mita 3 unatosha kuunganisha. Pamoja na kwamba niko tayari kulipia 320,000/= bei ya sasa. Kabla ya hapo october mwaka jana 2021 nilishaomba umeme wa nyumba hii hii kwa kujaza form na surveyor alipima ikapitishwa wakati bei ikiwa 27,000/= lakini sikupigiwa simu ili nipewe control number ya kulipia.

Hayo hapo chini ni maombi mapya online.

Ndugu Mteja Ombi lako la kuunganishiwa umeme limepokelewa, Namba ya ombi U140622-27801 limewasilishwa ofisi ya TANESCO. Tutawasiliana na wewe kwaajili ya kukamilisha baadhi ya taarifa.

Mkandarasi uliyemchagua amekamilisha kujaza taarifa zako na kuwasilisha TANESCO, subiri kupimiwa na kupatiwa namba ya kumbukumbu ya malipo. TANESCO.

Surveyor alishapima tayari siku nyingi.
 
Mimi pia niliomba kuunganishiwa umeme online sijapata control number nikalipie hadi sasa. Surveyor alishapima na ilioneka wire mita 3 unatosha kuunganisha. Pamoja na kwamba niko tayari kulipia 320,000/= bei ya sasa. Kabla ya hapo october mwaka jana 2021 nilishaomba umeme wa nyumba hii hii kwa kujaza form na surveyor alipima ikapitishwa wakati bei ikiwa 27,000/= lakini sikupigiwa simu ili nipewe control number ya kulipia.

Hayo hapo chini ni maombi mapya online.

Ndugu Mteja Ombi lako la kuunganishiwa umeme limepokelewa, Namba ya ombi U140622-27801 limewasilishwa ofisi ya TANESCO. Tutawasiliana na wewe kwaajili ya kukamilisha baadhi ya taarifa.

Mkandarasi uliyemchagua amekamilisha kujaza taarifa zako na kuwasilisha TANESCO, subiri kupimiwa na kupatiwa namba ya kumbukumbu ya malipo. TANESCO.

Surveyor alishapima tayari siku nyingi.
Ombi lako halijakidhi vigezo vya kuongozewa mita ya pili na limerejeshwa kwako kwa njia ya mtandao
 
Ndugu Mteja!
Usihuzunike, usiumie TANESCO ipo kukusikiliza na kukupatia huduma, Tafadhali onesha Namba ya ombi lako au namba ya simu na sisi tutakupatia huduma husika.
TANESCO Huduma kwa Wateja
Makao Makuu
0748550000
Nikonekt Kilichobora kutoka TANESCO.
Nimewapenda kwa kujali kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi tanesko kigoma mnanini hii Hali itaendelea mpaka lini mnakata umeme masaa 6 kwetu tu Kila siku lazima mkate umeme.


Hili Jambo limekua too much sasa niwakati wa kuliweka bayana Kama hapa kigoma maeneo ya ujiji kuanzia mtaa wa lake Tanganyika

kushuka Hadi kagera umeme hakuna Ila huko line police,maweni,mwanga,gungu,katonga,kibirizi,mjimwema, namaeneo mengine umeme unawaka ujiji mnatuonea sana jamani au kwakua hatuna bar na gesti..??
 
Nimeamini tanesco nchi zima mko saresare MaUa..

Mosi Nimewapigia kuuliza suàla langu. Cha ajabu huyu muhudumu hakutaka kujua hta natokea morogoro seem Gani?
Pili akanambia kama tanesco mkoa coz me Niko hapa manispaa wamenijibu nisubirie miez miwili wenyewe hawawez kulazimisha eti nipate huduma mapema Kwa Sababu hawa ndo wenye bajeti na wanajua Hali iliyopo.

Sasa najiuliza hii customer care kaz yake ni Nini? Kwa Nini wasjipe hata Muda wa kufuatilia ombi la mteja na changmoto yKe ni Nini? Ili mteja apate jibu la uhakika.

Nimeungana na wasomaji wengine Kuwa tanesco hamna Msaada wowote ulë Kwa wateja wenu Hasa wakikwama Huku chini.

Ngja niendlee kuhesab siku. Kwani najua hata hii miez miwili inaweza Kuwa ngumu.

Ila najuta hii hela ningefanyia Jambo lingne tu. Investment nzur yoyote ni Ile inayoenda vizur kulingana na timeline ya mwekezaji.

Ngja niendlee kusikiliza matangazo ya nikonect tu
TANESCO ni shida sana..
Sijui kwa nini serikali haijabinafsisha hili shirika!
Shirika Lina monopoly ya biashara lkn halieleweki🙄
 
Mm niko Morogoro, niliomba umeme tr 28 Apri 22, nikafungiwa tar 14 may 2022. Nilifuata taratibu kama kawaida sikutoa chochote na wala sikumjua yeyote. Nilihitaji nguzo 2 na things went on very well and efficiently.
 
Mm niko Morogoro, niliomba umeme tr 28 Apri 22, nikafungiwa tar 14 may 2022. Nilifuata taratibu kama kawaida sikutoa chochote na wala sikumjua yeyote. Nilihitaji nguzo 2 na things went on very well and efficiently.
Hongera kwa kukujali. Ulitumia TZS ngapi?
 
Ndugu Mteja

Bado tunasubiri taarifa za lalamiko lako kwa hatua zaidi kwa kuwa ni haki yako kupata huduma.
Tunaomba mkundi CCT mtusaidie kumalizia kuweka nguzo za umeme, ili na sisi tufurahie mwanga wa umeme jamanii!! Tunateseka na hivi vitaa vya solar mweeee [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Ndugu Mteja!
Usihuzunike, usiumie TANESCO ipo kukusikiliza na kukupatia huduma, Tafadhali onesha Namba ya ombi lako au namba ya simu na sisi tutakupatia huduma husika.
TANESCO Huduma kwa Wateja
Makao Makuu
0748550000
Nikonekt Kilichobora kutoka TANESCO.
 
Back
Top Bottom