Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
TANESCO Morogoro manispaa, huyo mkataji wa zamu leo ni mwanafunzi wa field? Mmemtuma kuangamiza watu wa Bigwa?
Kuweni na nidhamu huu ni UPUMBAVU, eneo la kuanzia Bigwa Stand mpaka Misongeni wiki hizi za hivi karibuni mnalichezea rafu sana.
Acheni upumbavu kama kuna hitilafu kateni rekebisheni kwanza ndiyo mrejeshe huduma kenge wakubwa ninyi. Mmeharibu mashine zangu sasa.
Kuweni na nidhamu huu ni UPUMBAVU, eneo la kuanzia Bigwa Stand mpaka Misongeni wiki hizi za hivi karibuni mnalichezea rafu sana.
Acheni upumbavu kama kuna hitilafu kateni rekebisheni kwanza ndiyo mrejeshe huduma kenge wakubwa ninyi. Mmeharibu mashine zangu sasa.