Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
Daah huku wametukatia mpaka nlikua najiuliza mbona mvua zinanyesha sometimes mtu unapata hasira sanaaa aseeHivi kwanini wa TZ ni mazumbukuku. Kila uwongozi ukija TANESCO wanakuja na same story lakini wa TZ wanasahau walichoambiwa nyuma.
Ni upole ama ni ujinga. Mvua inanyesha sasa hivi natumaini bwawa limejaa. Lakini bado mgao. Mitambo inatengenezwa kila uwongozi lakini haiponi.
TZ bwana !! Mtu akitutukana wala sishangai
Alikomesha Uhuni Wa Kufungulia Maji Kwenye Mabwawa Ili Kutengeneza TatizoR.I.P Magufuli
Zi kumamayo zaoHivi kwanini wa TZ ni mazumbukuku. Kila uwongozi ukija TANESCO wanakuja na same story lakini wa TZ wanasahau walichoambiwa nyuma.
Ni upole ama ni ujinga. Mvua inanyesha sasa hivi natumaini bwawa limejaa. Lakini bado mgao. Mitambo inatengenezwa kila uwongozi lakini haiponi.
TZ bwana !! Mtu akitutukana wala sishangai
Makonda atakusemeaR.I.P Magufuli