ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nnanunua umeme kila mweziMara ya mwisho kununua ilikuwa lini? Usikute ni mwezi wa nne huko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnanunua umeme kila mweziMara ya mwisho kununua ilikuwa lini? Usikute ni mwezi wa nne huko!
Linazalisha hilo pango au? Unachukuaje kodi kwa kitu hakizalishi? Materials ya kujengea yalilipa kodi leo jengo linatozwa kodi, why? Kuna vitu vingine kama nchi tunafeli hata kama nchi zingine wanatoza pia. Jengo la biashara linalipa kodi lakini la mtu kulala na familia yake unatoza kodi ya nini?Kuna shida mahali tena kubwa kabisa. Yaani una kipato ambacho kimekuwezesha kujenga na kumiliki nyumba, ila kulipia kodi ya pango 1500 kwa mwezi unaona ni wizi. Ebu tuweni serious muda mwingine.
Tena ulitakiwa upigwe faini kwa kutolipa kodi ya pango kwa miezi minne
jamaa ni wezi kweli kweli, maelezo yamejaa usanii mtupuTANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
mtupu
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
Wewe hujawahi kununua umeme unalishwa tu. Ukinunua umeme kila mwezi unakatwa 2000 au 1500 .Mwezi wa 6 walikata hilo deni limetoka wapi?
Mimi wamechukua 7500 wakati miezi ya nyuma yote wanakat
Ndugu Mteja Tazama deni, mfano kodi ya jengo kwa kubofya *152*00# ,
Chagua 4,
Chagua tena 4,
Chagua 3,
angalia deni, ingiza namba ya mita, Chagua namba ya deni.
Mbona iiko Sawa kuanzia tarehe 1 mwezi huu wanakata elfu 2,,(2000.00), hakuna atakaye kupa maelekezo vinginevyo nenda buruuuuuu ...........9003241851825164904
Units 22.4KWH
2629 1866 1530 0953 0645
Cost 6,557.38
VAT 18% 1,180.33
EWURA 1% 65.57
REA 3% 196.72
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 10,000.00
kama huna kumbukumbu vizuri basi hupaswi kuji mwambafy na kuwakoromea kwa kusema "nataka concrete answers"Ila nataka concrete answers from TANESCO,kwa kuwa sina kumbukumbu vizuri.
Hivi watanzania tuna akili timamu kweliNenda ofisi za tanesco zilizo karibu yako usitusumbue.
Wagumu kuelewa wanapenda kubishana kwasababu kubishana kupoHivi watanzania tuna akili timamu kweli
Mwenge oooh mwenge mbio mbiooo!!!!Pole sana! Mama anaupiga mwingi!
Sio kweli kodi ya majengo haijapanda itaendelea kuwa 1500,Kila mwezi wanakata 1500
Ambayo kwa sahv July wanakata 2000
Ova
Si lazima nikumbuke kila kitu,what they have done now requires clarification.Na kwa taarifa yako,wameshatoa clarification ingawa haitoshelezi.Sijui huo ujasiri wa kizombi wa kuniambia sihitaji clarification unautoa wapi.Watanzania kwa uzombi wenu mtaonewa sana.kama huna kumbukumbu vizuri basi hupaswi kuji mwambafy na kuwakoromea kwa kusema "nataka concrete answers"
sio kazi yao kukukumbusha madeni uliosahau.... siku ingine ukilalamika uje na concrete memory pamoja na concrete data!
Mkuu jamaa huwa wanakoroma kweli kweli,this time kimyaa.Wanajua kodi ya majengo serikali ilivyo ongeza ya Sh.500 kinyemela ni kaa la moto.Ngoja tusubiri ila wanayotufanyia wakifikiria sisi ni mazombi yata-backfire tu,kila jambo lina mwisho.Uzuri wapo humu Jf waje wajibu tuhuma hizi.
Hivi mbona wewe mjinga kiasi hicho.Kodi si ilikuwa T.sh.1000 kwa jengo lisilo la ghorafa, sasa, aliwaruhusu nani kupandisha mpaka 1500?Halafuu,huu si wizi tu wa mchana kweupe,wanatoza kodi walinisaidia kujenga.Kwanza kila bidhaa niliyotumia kujengea imetozwa kodi.Yaani ni wizi wizi usiokoma.Mwisho watatoza kodi hata Mwanamke uliyenaye kodi.Denmark tayari mifugo inatozwa kodi!Sio kweli kodi ya majengo haijapanda itaendelea kuwa 1500,
Mbona watu wengi wamekatwa 2000 badala 1500,Sio kweli kodi ya majengo haijapanda itaendelea kuwa 1500,
Mkuu pole sana.Ni wazi sasa kuwa wananchi hatuna mtetezi na tuko wenyewe.Nadhani hatuna budi kuamka na kuchukuwa hatua stahiki.Hata mimi wamenifanyia hivyo hivyo Mkuu. Huu ni wizi mchana kweupe kama hatutapata maelezo ya ziada. Tizama hii receipt..
Malipo yamekamilika.24313772568
9001241831948450357
11.2KWH
1350 0256 0291 4971 9717
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TOTAL 10,000.00 01/07/24 19:48
Nikawapigia wakasema itakuwa sikulipa madeni ya nyuma kitu ambacho ni uongo kabisa kwa mujibu wa receipt yangu ya mwezi wa 6 sidaiwi deni lolote la kodi.
Malipo yamekamilika.24313772568
9001241592242185973
1.4KWH
2601 8609 9430 4526 3448
Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 1500.00
TOTAL 2,000.00 07/06/24 22:42
Mkuu hawa watu watu ni part and parcel of the NWO and WEF.Infact waliambiwa na WEF watukamue bila huruma as we progress towards the full implementation of the NWO.Namkumbuka Claus Schwab a.k.a.Babu mkaa uchi, akiwaambia safari kuelekea NWO itakuwa na maumivu mengi,and this is it.Naamini they are now implementing WEF orders, na huu ni mwanzo wa utungu,the worst is yet to come.Lakini sisi kama Wananchi tunapaswa kufanya nini,because obviously hatuna wa kututea.Lazima kwa pamoja tukatae uonevu huu.Hii serikali nashindwa kuielewa sijui wanamwaminije miguru awaendeshee hizi plan za uzalishaji zote ndani ya serikali.
Na miguru yeye hana plan nyingine zaidi ya kuamini kupitia kuwakamua watu. Yeye hana plan nyingine ndani ya serikali zaidi ya kukamua ng'ombe wa maziwa asiemlisha.
Gharama zote hizu kuanzia tozo,kuna tozo za bank,kodi kubwa,kupanda kila siku TRA,hizi ongezeko kubwa la gharama za umeme,mawazo yote hayo yanatoka kwa huyu mtu
Hakika Mkuu. Tanesco wanasema sio wao huku TRA nao wakisema hawahusiki na kodi ya majengo. Sasa sijui nani anahusika.Mkuu pole sana.Ni wazi sasa kuwa wananchi hatuna mtetezi na tuko wenyewe.Nadhani hatuna budi kuamka na kuchukuwa hatua stahiki.