TANESCO naomba maelezo ya kina, nimechanganyikiwa (Kuhusu Kununua Luku Na Units Unazopata)

TANESCO naomba maelezo ya kina, nimechanganyikiwa (Kuhusu Kununua Luku Na Units Unazopata)

Attachments

  • IMG-20240703-WA0000.jpg
    IMG-20240703-WA0000.jpg
    160 KB · Views: 4
Sasa kwanini wewe umekatwa afu sita
Sababu wamezieleza kwenye tangazo lao la ujumla kwa uma ambalo nime-attach,ila kwa bahati mbaya katika tangazo hilo changamoto ambazo zimejitokeza zinapaswa kujibiwa specifically na Wizara ya Fedha ambao kimsingi ndio watunga sera wa Government Revenue.Kwa kweli TANESCO wao ni watekelezaji tu.TANESCO tunawapiga mawe kwa kuwa ndio tunaowaona.However the truth remains that the government is stealing from us and we do not have anybody to defend us.
 
Sababu wamezieleza kwenye tangazo lao la ujumla kwa uma ambalo nime-attach,ila kwa bahati mbaya katika tangazo hilo changamoto ambazo zimejitokeza zinapaswa kujibiwa specifically na Wizara ya Fedha ambao kimsingi ndio watunga sera wa Government Revenue.Kwa kweli TANESCO wao ni watekelezaji tu.TANESCO tunawapiga mawe kwa kuwa ndio tunaowaona.
kila la kheri mkuu
 
Kuna shida mahali tena kubwa kabisa. Yaani una kipato ambacho kimekuwezesha kujenga na kumiliki nyumba, ila kulipia kodi ya pango 1500 kwa mwezi unaona ni wizi. Ebu tuweni serious muda mwingine.
Tena ulitakiwa upigwe faini kwa kutolipa kodi ya pango kwa miezi minne

Ni wizi mkubwa sana,yaani watanzania kwa sasa hatuna mtetezi
 
Huyu mama aisee!! basi tu nimetukana kimoyo moyo😁
 
Ndugu Mteja Tazama deni, mfano kodi ya jengo kwa kubofya *152*00# ,
Chagua 4,
Chagua tena 4,
Chagua 3,
angalia deni, ingiza namba ya mita, Chagua namba ya deni.
 
Yawasaidie wengine kivipi. Dumb head!
Hata hao wengine wana miguu na akili ya kwenda tanesco. Kwamba wewe ni saint unawaendea tanesco.kila.mtu mwenye tatizo la luku/umeme. Acha kujichosha na kujipa umuhim bila sababu.
Punguza ujinga.Ujinga hauna faida dunia ya leo.
 
Ni kweli Hawa wapuuzi wameongeza kiasi Cha makato mwanzo nilikuwa napata unit 16.1 kwa 5000 ila naona Leo nimepata unit 15.3 kwa hiyo hiyo 5000.
 
Back
Top Bottom