Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio zao,mimi ilichukua wiki 2 wakati tunawaambia waje kutoa bomba lina nyaya za umeme,kuna jirani alivunja nyumba halafu lie bomba liliokuwa na nyaya za umeme akatundika nilpokuwa nakaa,ilibidi wapangaji wote tukomae na Tanesco tuMkuu huko nimeshapiga weee,lakini wapi,no connection.Hiyo namba ni janga mkuu.
Makato nusu kwa nusuNadhani kuna haja ya Ku-switch to solar,naona monopoly imewalevya hawa watu.Tulidhani Bwawa la Nyerere litashusha bei ya umeme kama Hayati JPM alivyokuwa ameahidi, hali ndio inazidi kuwa mbaya,unbelievable.
Hukununua umeme kwa miezi mingi ndo maana wamechukua makato mengiTANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
🤣🤣, kuna siku buku kumi itaenda na hupati unit hata moja.TANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
Inawezekana kabisa.Uingereza wameshaanza kukataliwa kuchukua hela zao Bank,so yes,that is coming.See here.🤣🤣, kuna siku buku kumi itaenda na hupati unit hata moja.
Nyumba yako ya gorofaMkuu kila mwezi nanunua umeme mara mbili.
Hawa watu sijui wanatuonajeTANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
Mpeni Kaisari yaliyo yake na Mungu yaliyo yake. Wewe kama ni mkristo suala la kodi limetolewa ufafanuzi kwenye Biblia.Msihalalishe uovu,hata Sh.100 isiyo yako hupaswi kuichukua bila ridhaa ya mwenyewe.
Habakuki 2:6,9
6 Je! Hawa wote hawatapiga mfano juu yake, na mithali ya kusimanga juu yake, wakisema, Ole wake yeye aongezaye kisicho mali yake! Hata lini? Na ole wake yeye ajitwikaye mzigo wa rehani!
9 Ole wake yeye aipatiaye nyumba yake mapato mabaya, ili apate kukiweka kioto chake juu, apate kujiepusha na mkono wa uovu!
Mkuu hapakuwa na makubiano na Serikali wachukie hela zetu,it was forced on us,so it is illegal.Israel government inapanga kutunga Sheria kuhalalisha kuua Palestian prisoners,so itakuwa halali,surely not.Mkuu tunajua hizi kodi zina maana gani,labda wewe hujui.Eventually nia ni ku-tax everything you own and do,ili kutufukarisha kabisa.Even the Oxygen you breathe will be taxed,the goat,the sheep,the chicken you keep will be taxed;the Carbon Dioxide you breath,the children you have you will be taxed for.Kama huna kazi unakaa kwa baba yako,you will be taxed!Nia?Watufanye tu-own nothing.Remember they say "we will own nothing and happy." Sasa ninyi kenueni tu badala ya kuchukia hatua,this is the beginning of something worse:to strip you of all your property.This is the eventual goal of the WEF a k.a.NWO Cabal.
Kwanza watu wa kuwaamini na hela zako wako wapi,hawa hawa ambao CAG anatoa taarifa za wizi,Halafu hakuna hatua zozote zinazochukuliwa!Hapana tuna shida kubwa ndani ya serikali.
Hapo umenunua umeme wa buku 4 tuu ulikiwa unadaiwa hela ya jengo miezi minne ! So pliz usilalamike tenaTANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
Weka na receipt ya nyuma yake tulinganisheMkuu kila mwezi nanunua umeme mara mbili.