TANESCO naomba mje mnipe mita yangu huyu dogo hapa simwelewi

TANESCO naomba mje mnipe mita yangu huyu dogo hapa simwelewi

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,172
Hahaa nimejitutumua utazan bei najua ya kufungiwa mita private hapa ofisin. Wakuu nipeni Raman hapa salon hichi kifaa mita kufungiwa hapa ofisi bei gani? Pesa hazinifikii kwa wakati huku dogo akivimba tu mashavu. Dah.
 
Hahaa nimejitutumua utazan bei najua ya kufungiwa mita private hapa ofisin. Wakuu nipeni Raman hapa salon hichi kifaa mita kufungiwa hapa ofisi bei gani? Pesa hazinifikii kwa wakati huku dogo akivimba tu mashavu. Dah.
Mjazie unit Kisha ondika na remote
Bei ya meter ya tanesco ni 320,000 + gharama ya ufundi na baadhi ya vifaa kama vile main switch na circuit breaker nikama 400,000 hivi
Utachagua mwenyewe
 
Hahaa nimejitutumua utazan bei najua ya kufungiwa mita private hapa ofisin. Wakuu nipeni Raman hapa salon hichi kifaa mita kufungiwa hapa ofisi bei gani? Pesa hazinifikii kwa wakati huku dogo akivimba tu mashavu. Dah.
Vipesa kidogo tau nenda ofisini
 
Back
Top Bottom