TANESCO: Sasa usambazaji wa umeme nchini kufanywa na sekta binafsi. Tayari Wawekezaji wameonesha nia ya kuwekeza TZS 3.3T kwa sharti la Ubia

TANESCO: Sasa usambazaji wa umeme nchini kufanywa na sekta binafsi. Tayari Wawekezaji wameonesha nia ya kuwekeza TZS 3.3T kwa sharti la Ubia

Kwahiyo serikali itachukua kodi from private company au private company itakuwa inachukua kodi kutoka serikalini?
Hapa usipotumia akili unapigwa
Kuliko tunavyopigwa hivi sasa?

Miaka zaidi ya 30 ya uhuru, umeme matatizo, vyanzo vya umemem kibao. Kuanzia maji, gas, makaa ya mawe, upepo, jua.

Tumepata umeme wa kutosha kuulizwa tanesco kwanini bado unakatikakatika wakajidai "transmission line", sasa walikuwa wa[i siku zote?

Tena hao mashirika binafsi wasichelewe.

Ujinga umetujaa sana.
 
View attachment 3116051
====
The Tanzanian government is in talks with two foreign investor companies that have expressed interest to build power transmission projects worth a total of $1.2 billion.

If successful, these will be the first ever Public-Private Partnership (PPP) power transmission projects in Tanzania's history.

Power transmission is currently being done solely by the state-run Tanzania Electric Supply Company (TANESCO).

Involvement of the private sector in the construction of high-voltage power lines is a new phenomenon in Tanzania.

David Kafulila, the Executive Director of Tanzania's PPP Centre, said the government is exploring best practices from countries that have experience in PPP projects in power transmission lines in Latin America and Asia.

"There are success stories in this area (PPPs in power transmission projects) in countries such as India, Peru, Chile, Brazil and Philippines," he said.

At least two foreign companies have expressed interest to the PPP Centre to invest in power transmission lines.

"The mandate of the PPP Centre is to coordinate and scrutinise investments proposals with public-private partnerships," he said.

Tanzania faces key challenges in implementing PPPs in transmission lines, including regulatory, legal, and institutional barriers and limited skills in key government entities.

There is need for technical and capacity building support for the government to adopt PPPs in the energy sector.

Some development partners have been pushing for this PPP agenda in power transmission for all East African countries and is currently working with kenya and Uganda, according to Kafulila.

"Experience from energy economists suggests that the energy sector can be self-financed if tariffs are commercially set. Tanzania is charging the lowest electricity tariffs in East Africa. This is one reason why Tanzania is leading sub-Saharan African countries in having an inclusive economy," Kafulila noted.

The Tanzanian government announced in 2022 that it plans to invest $1.9 billion to upgrade the country's electricity transmission infrastructure.

Tanzania currently has a surplus of power, yet parts of the country do not have access to electricity.

The government also cannot export the surplus electricity to energy-starved neighbouring countries due to inadequate power transmission networks.

The involvement of the private sector in power transmission projects is expected to bring significant economic benefits to the country.

These include improvements in access, quality and reliability of electricity across the country and development of regional power trade.

The PPPs are also expected to reduce power transmission losses and could further cut the cost of electricity to consumers by absorbing the capital cost of transmission lines.


In summary:

October 5, 2024

𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝗲𝘆𝗲𝘀 𝗳𝗶𝗿𝘀𝘁 𝗣𝘂𝗯𝗹𝗶𝗰-𝗣𝗿𝗶𝘃𝗮𝘁𝗲 𝗣𝗮𝗿𝘁𝗻𝗲𝗿𝘀𝗵𝗶𝗽 𝗽𝗼𝘄𝗲𝗿 𝘁𝗿𝗮𝗻𝘀𝗺𝗶𝘀𝘀𝗶𝗼𝗻 𝗽𝗿𝗼𝗷𝗲𝗰𝘁s

◾The PPP Centre is in talks with foreign investor companies for two power transmission projects
.
◾Power transmission is currently the sole responsibility of state power utility TANESCO

◾Involvement of the private sector in construction of high-voltage power lines will free up government resources for other projects and expand access to electricity

𝘽𝙮 𝙏𝘽𝙄 𝙍𝙚𝙥𝙤𝙧𝙩𝙚𝙧
Dar es Salaam
Kafulila kawa dalali.
 
Kuliko tunavyopigwa hivi sasa?

Miaka zaidi ya 30 ya uhuru, umeme matatizo, vyanzo vya umemem kibao. Kuanzia maji, gas, makaa ya mawe, upepo, jua.

Tumepata umeme wa kutosha kuulizwa tanesco kwanini bado unakatikakatika wakajidai "transmission line", sasa walikuwa wa[i siku zote?

Tena hao mashirika binafsi wasichelewe.

Ujinga umetujaa sana.
Leo nimekuelewa sana
 
View attachment 3116051
====
The Tanzanian government is in talks with two foreign investor companies that have expressed interest to build power transmission projects worth a total of $1.2 billion.

If successful, these will be the first ever Public-Private Partnership (PPP) power transmission projects in Tanzania's history.

Power transmission is currently being done solely by the state-run Tanzania Electric Supply Company (TANESCO).

Involvement of the private sector in the construction of high-voltage power lines is a new phenomenon in Tanzania.

David Kafulila, the Executive Director of Tanzania's PPP Centre, said the government is exploring best practices from countries that have experience in PPP projects in power transmission lines in Latin America and Asia.

"There are success stories in this area (PPPs in power transmission projects) in countries such as India, Peru, Chile, Brazil and Philippines," he said.

At least two foreign companies have expressed interest to the PPP Centre to invest in power transmission lines.

"The mandate of the PPP Centre is to coordinate and scrutinise investments proposals with public-private partnerships," he said.

Tanzania faces key challenges in implementing PPPs in transmission lines, including regulatory, legal, and institutional barriers and limited skills in key government entities.

There is need for technical and capacity building support for the government to adopt PPPs in the energy sector.

Some development partners have been pushing for this PPP agenda in power transmission for all East African countries and is currently working with kenya and Uganda, according to Kafulila.

"Experience from energy economists suggests that the energy sector can be self-financed if tariffs are commercially set. Tanzania is charging the lowest electricity tariffs in East Africa. This is one reason why Tanzania is leading sub-Saharan African countries in having an inclusive economy," Kafulila noted.

The Tanzanian government announced in 2022 that it plans to invest $1.9 billion to upgrade the country's electricity transmission infrastructure.

Tanzania currently has a surplus of power, yet parts of the country do not have access to electricity.

The government also cannot export the surplus electricity to energy-starved neighbouring countries due to inadequate power transmission networks.

The involvement of the private sector in power transmission projects is expected to bring significant economic benefits to the country.

These include improvements in access, quality and reliability of electricity across the country and development of regional power trade.

The PPPs are also expected to reduce power transmission losses and could further cut the cost of electricity to consumers by absorbing the capital cost of transmission lines.


In summary:

October 5, 2024

𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝗲𝘆𝗲𝘀 𝗳𝗶𝗿𝘀𝘁 𝗣𝘂𝗯𝗹𝗶𝗰-𝗣𝗿𝗶𝘃𝗮𝘁𝗲 𝗣𝗮𝗿𝘁𝗻𝗲𝗿𝘀𝗵𝗶𝗽 𝗽𝗼𝘄𝗲𝗿 𝘁𝗿𝗮𝗻𝘀𝗺𝗶𝘀𝘀𝗶𝗼𝗻 𝗽𝗿𝗼𝗷𝗲𝗰𝘁s

◾The PPP Centre is in talks with foreign investor companies for two power transmission projects
.
◾Power transmission is currently the sole responsibility of state power utility TANESCO

◾Involvement of the private sector in construction of high-voltage power lines will free up government resources for other projects and expand access to electricity

𝘽𝙮 𝙏𝘽𝙄 𝙍𝙚𝙥𝙤𝙧𝙩𝙚𝙧
Dar es Salaam

Kafulila toa Elimu kwa raia kwanza waelewe, vinginevyo they will fight back.
 
View attachment 3116051
====
The Tanzanian government is in talks with two foreign investor companies that have expressed interest to build power transmission projects worth a total of $1.2 billion.

If successful, these will be the first ever Public-Private Partnership (PPP) power transmission projects in Tanzania's history.

Power transmission is currently being done solely by the state-run Tanzania Electric Supply Company (TANESCO).

Involvement of the private sector in the construction of high-voltage power lines is a new phenomenon in Tanzania.

David Kafulila, the Executive Director of Tanzania's PPP Centre, said the government is exploring best practices from countries that have experience in PPP projects in power transmission lines in Latin America and Asia.

"There are success stories in this area (PPPs in power transmission projects) in countries such as India, Peru, Chile, Brazil and Philippines," he said.

At least two foreign companies have expressed interest to the PPP Centre to invest in power transmission lines.

"The mandate of the PPP Centre is to coordinate and scrutinise investments proposals with public-private partnerships," he said.

Tanzania faces key challenges in implementing PPPs in transmission lines, including regulatory, legal, and institutional barriers and limited skills in key government entities.

There is need for technical and capacity building support for the government to adopt PPPs in the energy sector.

Some development partners have been pushing for this PPP agenda in power transmission for all East African countries and is currently working with kenya and Uganda, according to Kafulila.

"Experience from energy economists suggests that the energy sector can be self-financed if tariffs are commercially set. Tanzania is charging the lowest electricity tariffs in East Africa. This is one reason why Tanzania is leading sub-Saharan African countries in having an inclusive economy," Kafulila noted.

The Tanzanian government announced in 2022 that it plans to invest $1.9 billion to upgrade the country's electricity transmission infrastructure.

Tanzania currently has a surplus of power, yet parts of the country do not have access to electricity.

The government also cannot export the surplus electricity to energy-starved neighbouring countries due to inadequate power transmission networks.

The involvement of the private sector in power transmission projects is expected to bring significant economic benefits to the country.

These include improvements in access, quality and reliability of electricity across the country and development of regional power trade.

The PPPs are also expected to reduce power transmission losses and could further cut the cost of electricity to consumers by absorbing the capital cost of transmission lines.


In summary:

October 5, 2024

𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝗲𝘆𝗲𝘀 𝗳𝗶𝗿𝘀𝘁 𝗣𝘂𝗯𝗹𝗶𝗰-𝗣𝗿𝗶𝘃𝗮𝘁𝗲 𝗣𝗮𝗿𝘁𝗻𝗲𝗿𝘀𝗵𝗶𝗽 𝗽𝗼𝘄𝗲𝗿 𝘁𝗿𝗮𝗻𝘀𝗺𝗶𝘀𝘀𝗶𝗼𝗻 𝗽𝗿𝗼𝗷𝗲𝗰𝘁s

◾The PPP Centre is in talks with foreign investor companies for two power transmission projects
.
◾Power transmission is currently the sole responsibility of state power utility TANESCO

◾Involvement of the private sector in construction of high-voltage power lines will free up government resources for other projects and expand access to electricity

𝘽𝙮 𝙏𝘽𝙄 𝙍𝙚𝙥𝙤𝙧𝙩𝙚𝙧
Dar es Salaam


TANESCO: Sasa ujumbe wa umeme katika sekta na sekta binafsi. Tayari Wawekezaji wameonesha nia ya kuwekeza TZS 3.3T kwa sharti la Ubia






====
Serikali ya Tanzania iko kwenye mazungumzo na makampuni mawili ya wawekezaji wa kigeni ambayo yameonyesha nia ya kujenga miradi ya kusambaza umeme yenye thamani ya dola bilioni 1.2.

Ikifanikiwa, hii itakuwa miradi ya kwanza kabisa ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika historia ya Tanzania.

Usambazaji umeme kwa sasa unafanywa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO pekee).

Ushirikishwaji wa sekta binafsi katika ujenzi wa njia za umeme zenye nguvu ya juu ni jambo geni nchini Tanzania.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha PPP cha Tanzania David Kafulila, alisema serikali inachunguza mbinu bora kutoka kwa nchi ambazo zina uzoefu katika miradi ya PPP katika njia za kusambaza umeme katika Amerika Kusini na Asia.

"Kuna hadithi za mafanikio katika eneo hili (PPPs katika miradi ya usambazaji wa umeme) katika nchi kama vile India, Peru, Chile, Brazil na Ufilipino," alisema.

Angalau makampuni mawili ya kigeni yameonyesha nia ya Kituo cha PPP kuwekeza katika njia za usambazaji umeme.

"Majukumu ya Kituo cha PPP ni kuratibu na kuchunguza mapendekezo ya uwekezaji na ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi," alisema.

Tanzania inakabiliwa na changamoto kuu katika utekelezaji wa PPPs katika njia za usafirishaji, ikiwa ni pamoja na vikwazo vya udhibiti, kisheria, na kitaasisi na ujuzi mdogo katika taasisi muhimu za serikali.

Kuna haja ya msaada wa kiufundi na kujenga uwezo kwa serikali kupitisha PPPs katika sekta ya nishati.

Baadhi ya washirika wa maendeleo wamekuwa wakishinikiza ajenda hii ya PPP katika usambazaji wa umeme kwa nchi zote za Afrika Mashariki na kwa sasa inafanya kazi na kenya na Uganda, kulingana na Kafulila.

"Uzoefu wa wachumi wa nishati unaonyesha kuwa sekta ya nishati inaweza kujiendesha yenyewe ikiwa ushuru utawekwa kibiashara. Tanzania inatoza bei ya chini ya umeme katika Afrika Mashariki. Hii ni sababu mojawapo ya Tanzania kuongoza nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa kuwa na uchumi shirikishi." ,” Kafulila alibainisha.

Serikali ya Tanzania ilitangaza mwaka 2022 kuwa inapanga kuwekeza dola bilioni 1.9 ili kuboresha miundombinu ya kusambaza umeme nchini humo.

Tanzania kwa sasa ina ziada ya nishati, lakini sehemu za nchi hazina umeme.

Serikali pia haiwezi kusafirisha ziada ya umeme kwa nchi jirani zenye njaa ya nishati kutokana na mitandao duni ya kusambaza umeme.

Ushiriki wa sekta binafsi katika miradi ya usambazaji umeme unatarajiwa kuleta manufaa makubwa ya kiuchumi nchini.

Hizi ni pamoja na uboreshaji wa upatikanaji, ubora na uaminifu wa umeme nchini kote na maendeleo ya biashara ya umeme ya kikanda.

PPPs pia zinatarajiwa kupunguza upotevu wa usambazaji wa umeme na zinaweza kupunguza zaidi gharama ya umeme kwa watumiaji kwa kuchukua gharama ya mtaji ya njia za usambazaji.


Kwa muhtasari:

Oktoba 5, 2024

𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝗲𝘆𝗲𝘀 𝗳𝗶𝗿𝘀𝘁 𝗣𝘂𝗯𝗹𝗶𝗰-𝗣𝗿𝗶𝘃𝗮𝘁𝗲 𝗣𝗮𝗿𝘁𝗻𝗲𝗿𝘀𝗵𝗶𝗽 𝗽𝗼𝘄𝗲𝗿 𝘁𝗿𝗮𝗻𝘀𝗺𝗶𝘀𝘀𝗶𝗼𝗻 𝗽𝗿𝗼𝗷𝗲𝗰𝘁

◾Kituo cha PPP kiko kwenye mazungumzo na makampuni ya wawekezaji wa kigeni kwa ajili ya miradi miwili ya kusambaza umeme
.
◾Usambazaji umeme kwa sasa ni jukumu la shirika la umeme la serikali TANESCO

◾Ushirikishwaji wa sekta binafsi katika ujenzi wa njia za umeme zenye nguvu ya juu utaweka huru rasilimali za serikali kwa miradi mingine na kupanua upatikanaji wa umeme.

𝘽𝙮 𝙏𝘽𝙄 𝙍𝙚𝙥𝙤𝙧𝙩𝙚𝙧
Dar es Salaam
 
Bei za umeme zitashuka lini?
Kama wataingiza mabilioni kwenye miundombinu usitegemee hata siku moja bei ikashuka
Ni sawa na kukaa kwenye pagala unalipa elfu30 kwq mwezi halafu mwenye nyumba akaamua kuvunja na kujenga upya hapo yegemea kulipa laki kwa mwezi
 
Blah blah miaka kenda, kwanini TANESCO waendelee kuwa watoa huduma pekee?

Ni wakati sasa wa kuleta watoa huduma tofauti na vyanzo tofauti vya umeme hii biashara ya miaka nena rudi ni wao tu bado itakuwa haitatui tatizo .
 
kwa thamani ya hiyo fedha,inatakiwa ichangamshe uchumi mara mbili kama ilr pesa ya UVIVO 19 ulivyokuwa,ila kwa Muhindi tutaumia
 
The right decision at the right time.
unaposikia upigaji kiulaini ndio hapa. Stigler's gorge inatoa umeme kibao sasa tunamtafuta mwekezaji asambaze huo umeme. Hapo wala sio 30% commission bali ni 60%
 
Republic of South Africa

Media Statements

Loadshedding suspension continues after 191 days of uninterrupted power supply, achieving R11.51 billion in diesel savings year-on-year​


October 4, 2024
Friday, 04 October 2024: The Generation Operational Recovery Plan has successfully kept loadshedding suspended, achieving 191 consecutive days of uninterrupted power supply since 26 March 2024. Operational efficiency has met summer expectations, with unplanned outages averaging 11 181MW over the past week, compared to 14 743MW during the same period last year, marking an improvement of 3 562MW.

Eskom’s Energy Availability Factor (EAF) averaged 61% over the past week and 63.2% year-to-date. Top-performing stations such as Kusile, Majuba, Camden, and the peaking stations maintained an EAF above 70%. Additionally, two other power stations sustained an EAF above 60%. Notably, Duvha Power Station achieved 81.9% EAF today, marking another milestone in the recovery plan.

The ongoing improvement in the generation fleet’s performance is attributed to the recovery plan, accelerated maintenance, collaboration with original equipment manufacturers (OEMs), and the dedication of power station managers and their teams.

Operational efficiency has been in line with the summer expectations, with unplanned outages varying between 10 700MW and 11 800MW over the past week. Today’s unplanned outages stand at 9 615MW, which is 3 385MW significantly lower than the summer 2024 base case.


As of today, Eskom’s available generation capacity is 30 725MW, with an evening peak forecast of 26 239MW for 04 October 2024.


Additionally, a total of approximately 4 430MW of generating capacity is scheduled to return to service by Monday, 07 October 2024.
Eskom announced in August its outlook for the summer period, 01 September 2024 to 31 March 2025, that detailed a likely scenario of a loadshedding-free summer outlook due to structural generation improvements.
Source : ESKOM
 
19 July 2024

FROM CRISIS TO OPPORTUNITY

A must watch speech by a very wise man during the Debate on Opening of Parliament Address 2024. Minister of Energy and Electricity Dr Kgosientsho RamokgoThe Constitution affords all South Africans the right to see and hear what happens in Parliament.


View: https://m.youtube.com/watch?v=nT2AYFrIshQ

More :

Back in the 80s’: SA in crisis, but energy investment drive could rival gold rush, says JP Landman​

29 September 2023 Thought Leadership Comments Offon ‘Back in the 80s’: SA in crisis, but energy investment drive could rival gold rush, says JP Landman
sa-crisis.png

JP-Landman.png
According to JP Landman, South Africa is on the brink of disaster
Image By: Daily Investor

The original article can be found here.
SA is in a crisis, but investments into the energy transition and beating load shedding over the next decade could rival the growth explosion that followed the discovery of gold and diamonds.

That’s the view of well-known independent political and economic analyst JP Landman, who said SA is in many ways back where we were in the late 1980s.

Speaking at a panel discussion at the opening of the annual convention of the South African Property Owners’ Association in Sun City on Wednesday, Landman said the trillions in rands that stand to be invested in energy, in the coming years, could yet be the silver lining the country has been looking for.

According to Landman:
If you put it all together, the move from fossil to green, the move to new technologies of hydrogen, what you will find is a landscape of investment possibilities which are, any day of week, as big as the combined effect of diamonds and gold so many years ago.

But he added SA has new and different challenges as well.

“There are differences between now and the late 1980s. We had a civil war, we don’t have that now, but I must say that organised crime is giving us quite a go. We didn’t have democracy then; we do have one now. But there are similarities. The similarities are simply that the economy is stagnant, that the population growth is faster than the economic growth, and that our politics is stagnant.”

‘Opportunity of a lifetime’

Referring to SA Reserve Bank’s estimates that load shedding had shaved about 2 percentage points off of GDP growth, Landman said the only way out of the energy crisis was “massive investment in new generation and transmission capacity”.
“And it is that investment, which is really the biggest opportunity, I think – in a sense, in our lifetime.”


Landman pointed out that a total of R1.5 trillion was expected to be spent on electricity generation, transmission and distribution in SA over the next eight years, with a further R3 trillion likely needed after 2030.

If the nascent hydrogen industry in SA were added into the mix – including the harbour being built on the country’s West Coast to potentially export hydrogen to Europe and elsewhere – there was also cause for optimism, he said.

“Bear in mind that our economy is only about R7 trillion, and then you get a feel for the magnitude of what is busy playing out.”

As to where “all the money would come from” for all these investments, Landman said it would come from the private sector, drawing comparisons to the creation of the mobile phone industry in SA more than a quarter of a century ago.

“People ask where will the money come from… Well, let me just remind you that that 25 years ago none of us had smartphones – certainly not 30 years ago. People didn’t have cellphones – they didn’t exist in this country. Today you have a vibrant cellphone industry.”

Landman added:
Where does the money come from, well the money came from the private sector – there is not a cent of public money in our mobile [phone] industry. It’s all private capital that was mobilised over a quarter of a century and it gave us what we have. And that is the model that is going to play out in electricity as well.

He said the focus should be on what the private sector could be able to do in resolving the power crisis, rather than on the question of whether Eskom can be fixed.

While he does not necessarily believe the situation at the power utility will deteriorate further, he does not expect it to improve either.

As such, the hope for significantly more energy generation should not be pinned on Eskom, which would in any case in the coming years be taking out of commission at least eight of the 14 South African power stations.

He quipped at one point that “Eskom was f***ed,” prompting laughter in the auditorium.

End of monopolies

What gave him hope in the prospect of the private sector coming to SA’s rescue was the fact that President Cyril Ramaphosa had, in two moves in 2021 and 2022, effectively “changed the regulatory and legislative environment for power/energy in SA completely”.

“We went from a highly regulated electricity market where one company, a state-owned monopoly had the monopoly on the power and had the monopoly provision on power, and we move to a free market/open market of electricity in about 13 months.

And the consequences of that is busy flowing through.”
He said while he would not say “load shedding was a good thing”, but if it weren’t for the energy crisis, SA wouldn’t have experienced “this change from a government-run monopoly to private market electricity
 
Naona watu wanashangilia tu bila kufanya due dilligence na kujiuliza huo usambazaji utakuwaje ? Kumbuka miundombinu itakuwa hio hio huwezi ukawa na cable au plug nne kwenye nyumba yako ya kampuni tofauti..., hivyo hapo itatengenezwa artificial competition kama ni kampuni zaidi ya moja ya wadau kununua Tanesco na kuwauzia watu (madalali) au kama ni kampuni nyingi itawekwa bei artificial ambayo mtu itabidi alipia ya ku cover uzalishaji na usambazaji... In short yanayokuja hayafurahishi....

 
Uwezo wa kusambaza umeme vijijini chini ya taasisi ya REA mwaka 2020, tunaruka hadi mwaka 2024 REA imejifunza nini kuhusu usambazaji wa umeme wa TANESCO na changamoto zake kwa mijini na viwandani zitakuwa zipi kutokana na uzoefu walioupata kusambaza umeme vijijini

2020 19 Juni

Shilingi Bilioni 851 zatolewa kumalizia usambazaji umeme vijijini​


View: https://m.youtube.com/watch?v=jmdl6-RMmMQ
Serikali imetoa Shilingi bilioni 851 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji umeme vijijini kwa vijiji 3001 vilivyobakia nchini.Sambamba na fedha hizo pia serikali imetenga Shilingi bilioni 167 zitakazotumika katika usambazaji umeme kwenye vitongoji vyote vilivyobaki
 
Kuliko tunavyopigwa hivi sasa?

Miaka zaidi ya 30 ya uhuru, umeme matatizo, vyanzo vya umemem kibao. Kuanzia maji, gas, makaa ya mawe, upepo, jua.

Tumepata umeme wa kutosha kuulizwa tanesco kwanini bado unakatikakatika wakajidai "transmission line", sasa walikuwa wa[i siku zote?

Tena hao mashirika binafsi wasichelewe.

Ujinga umetujaa sana.
Kafulila namwona kama mtu makini, I hope amefanya kwa maslahi ya Taifa
 
Back
Top Bottom