TANESCO: Tuna upungufu, siyo mgao wa umeme. Wananchi endeleeni kuvumilia

Huyu kuna upungufu, mkubwa wake mitambo inakarabatiwa.
Tuamini lipi!
 
Ni kama mgao wa kimya kimya lakini hauko fair, yani hauna ratiba zinazoeleweka, unajiandaa kufanya kazi umeme unakata, no bora wakeweka utaratibu ili mtu ajue ana adjust vipi ratiba za kazi,

Na sisi tunataka tuishi na tunategemea hizi kazi ndugu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…