adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Magole Dar es salaamHuo mtaa wako hauna jina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magole Dar es salaamHuo mtaa wako hauna jina?
Duh !
Duh! kipindi cha Magi tulisahau haya mambo hata iwe kipindi cha jua kali shida haikuwa kama hii.Ndio utaratibu kipindi hiki cha jua kali...mgao
Duh! sio haki kabisa.Kwani we hukusikia ripoti ya uchunguzi iliyotolewa juzi?
TANESCO wamegundua maeneo ya buza buza kushuka chini huko hakunaga matumizi ya msingi ya umeme
Zaidi ya kuchajia simu afu zikijaa muanze kusumbua mitandaoni na habari za Yanga.
Kila zama na kitabu chakeDuh! kipindi cha Magi tulisahau haya mambo hata iwe kipindi cha jua kali shida haikuwa kama hii.
Magumashi
Kwa hakika..Kila zama na kitabu chake
WachacheTanesco genge la wahuni tu
This is a Stupid statementAkizungumza leo September 18 katika kipindi cha #Supa Breakfast cha East Africa Radio, Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO ndugu Maharage Chande amedai kuwa Tanzania hakuna kabisa mgao wa umeme bali kuna upungufu
Wateja na wananchi watuvumilie katika kipindi hiki najua ni kigumu kuvumilika na kuelekeweka lakini wafanyakazi wanajitahidi, wizara inajitahidi na serikali inajitahidi kuhakikisha tunatatua changamoto, vile vile uchumi unakua sana kwahiyo ni vizuri na mahitaji ya umeme yanaongezeka, tuko katika kushindana kuzalisha na matumizi ambayo ni mashindano mazuri kwa ustawi wa nchi yetu
Katika mitandao ya umeme hitilafu huwa zinatokea mara kwa mara maeneo mbalimbali huwezi kusema utakuwa na mtandao wa umeme isitokee hitilafu na pale zinapotokea wateja wetu huwa wanafahamishwa lakini pale ambapo tunapata upungufu"
Siyo kwamba nchi nzima hakuna umeme, kuna baadhi ya meeneo yanakosa na pia tunatoa taarifa kwenye hayo maeneo, ni vizuri mwananchi apate taarifa na tumekuwa tukitoa taarifa na tutaendelea kufanya hivyo.
View attachment 2753272
Tanesco imesema Hapatakuwepo tena na Mgao wa Umeme bali patakuwa na Ratiba ya Upatikanaji Umeme
Kwahiyo Umeme utakuwa wa Ratiba
Taarifa ipo kwenye ukurasa Wao wa X
Kiswahili kinakua!Mwaka huu tutapata kila aina ya misamiati lakini ukweli utabaki pale pale kuwa mgao wa umeme umepamba moto!
Pumbavu zaoTanesco imesema Hapatakuwepo tena na Mgao wa Umeme bali patakuwa na Ratiba ya Upatikanaji Umeme
Kwahiyo Umeme utakuwa wa Ratiba
Taarifa ipo kwenye ukurasa Wao wa X