Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaMbona wakati wa Uncle hatukuona upuuzi wenu huu? Pigeni hela tu, mmepewa upenyo mlioutamani kwa miaka!
Kwa sababu hujui taaluma za watu humu ndani kawaambia watoto wa darasa la pili C haya mambo. Au hawa hapa chinindugu mitambo inaweza kutokusomana hata kwa mwezi mzima... kikubwa kikosi cha watalamu kiko kazini
namatengenezo yanakwenda kwa mchakamchaka wa hali ya juu.
Mgao wa umeme by definition ni kugawa umeme sababu ya upungufu wa umeme. Kwahiyo ukisema una mgao, maana yake una upungufu, na ukisema una upungufu means kuna mgao. Its common sense.Ahaaa mkuu, tafsiri yangu nimeitoa kwakuzingatia lugha ya kiswahili (tofauti kati ya mgao na upungufu) kuhusu mgao wa umeme sababu wanaijua Tanesco.
Usinifafanulie, nitajie tatizo tu inatosha mimi kuelewa shida iko wapi! Ukiwa unanipa hilo tatizo, zingatia majibu ya maswali haya;utatuzi wa hitilafu hufanyika kwa masaa ili kutoadhiri eneo kubwa katika usambazaji ndugu .hili swala liko kitalamu sana ni ngumu kukufafanulia kwa reply moja
Yule binti aliye imbaSio mkenya ni mswahili huyo, ukipenda utaelewa usipende utaelewa!
musundi hakuna mnufaika yoyote wa hitilafu ya umeme huo ni uzushi wa vijiweniMbona wakati wa Uncle hatukuona upuuzi wenu huu? Pigeni hela tu, mmepewa upenyo mlioutamani kwa miaka!
mkuu jikite kwenye nishati ya umemeKwa sababu hujui taaluma za watu humu ndani kawaambia watoto wa darasa la pili C haya mambo. Au hawa hapa chini
View attachment 2753875...
Afu anaongea kwa kutojiaminiHuyu ni masalia ya kipara. Ni wa kufukuza haraka sana.
Hajasema hitilafu, kasema upungufushida kubwa ni uwelewa watanzania bado wameshindwa kutofautisha magao na hitilafu .
hivi vitu viwili naona vinawachanganya bado
Hajasema hitilafu, kasema upungufu
Upungufu wa umeme unaopelekea mgao wa mara kwa mara katika baadhi ya Mikoa ya nchi hiyo?ndugu mitambo inaweza kutokusomana hata kwa mwezi mzima... kikubwa kikosi cha watalamu kiko kazini
namatengenezo yanakwenda kwa mchakamchaka wa hali ya juu.
Kabisa mkuu.Yule binti aliye imba
"Mnatuona Kama nyani " hakukosea
Labda yeye anakijua kiswahili zaidi ndio maana amejitokeza si kwaajili yakutoa sababu bali kwaajili yakukosoa lugha inayotumiwa na walalamikaji.Mgao wa umeme by definition ni kugawa umeme sababu ya upungufu wa umeme. Kwahiyo ukisema una mgao, maana yake una upungufu, na ukisema una upungufu means kuna mgao. Its common sense.
Hivi Chalamila Yuko humu?Tanesco hasa Da res Salaam ni uozo mtupu ukiomba luku yaani wanaringa utadhani unapewa bure utazungushwa wee hadi utoe kitu kidogo.