mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hivi bado kerne hii unamlaza mtu bila umeme kwa masaa zaidi ya 12shida kubwa ni uwelewa watanzania bado wameshindwa kutofautisha magao na hitilafu .
hivi vitu viwili naona vinawachanganya bado
Watu watafanyaje kazi zao
Ova