Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Heka heka za kusaka kura zimeanza sasa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Heka heka za kusaka kura zimeanza sasa...
Rule No. 2 - Refer to rule No. 1, Especially if it's a government entity.Rule No.1 - Never Trust Anybody
Wawatoe Songas sasa nasikia tunawalipa mabilioni ya Hela...wakatafute nchi yenye shida ya umeme wakawekeze huko sasa.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi...
Yaani uchawa!Afisa Habari wa Tanesco amemweleza Waziri mkuu mh Majaliwa kwamba wamelazimika kuzima mitambo mitano kwa Sababu Umeme unaozalishwa ni mwingi MNO kuliko mahitaji
Source: Ayo TV
Raha ya Milele umpe e Bwana na Nuru ya Daima Umuangazie Shujaa Magufuli astarehe kwa Amani, amen!
Tanesco wamefanya uamuzi bila kufikiri, ninao uhakika kuwa licha ya majiko ya umeme yapo mengi na baadhi ya wateja wZnayo lakini hawayatumii, kisa bei ya umeme ni kubwa.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi.
TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika Viwanja Vya Bunge Jijini Dodoma.
“Mh. Waziri Mkuu kwa sasa hivi tunavyopngea tuna mitambo karibu mitano ipo nje, haifanyi kazi yoyote ni kwamba tu mahitaji yapo chini uzalishaji upo mwingi kwahiyo tumeiweka tu stand by kwa ajili ya kusubiria mahitaji yakiwa juu tunaiwasha, karibia megawats 175, umeme tunaozalisha ni mwingi mahitajii ni madogo Nchi nzima, narudia tuna mitambo mitano minne Kituo cha Kinyerezi I na mmoja Kituo cha Ubungo III, hii mitambo tumeizima kwasababu mahitaji yapo chini na uzalishaji wa umeme ni mwingi imebidi tuizime, kuhusu mgao hamna mgao kwa sasa”
Millard Ayo