FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kwako kukosa umeme haimaanishi kuna mgao wa umeme, pengine hujanunuwa LUKU.hivi ninavyoandika chat hii kwangu hakuna umeme 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako kukosa umeme haimaanishi kuna mgao wa umeme, pengine hujanunuwa LUKU.hivi ninavyoandika chat hii kwangu hakuna umeme 🤣🤣🤣
Ila bado Serikali haina ujasiri wa kuitangazia Dunia hili. Kwanza Serikali yenyewe haiiamini Tanesco Anaweza ukazindua Rasmi hapa na Dunia ikajua Tanzania mambo ni mapya Na baada ya siku Tatu Giza Hilo😂
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi.
TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika Viwanja Vya Bunge Jijini Dodoma.
“Mh. Waziri Mkuu kwa sasa hivi tunavyopngea tuna mitambo karibu mitano ipo nje, haifanyi kazi yoyote ni kwamba tu mahitaji yapo chini uzalishaji upo mwingi kwahiyo tumeiweka tu stand by kwa ajili ya kusubiria mahitaji yakiwa juu tunaiwasha, karibia megawats 175, umeme tunaozalisha ni mwingi mahitajii ni madogo Nchi nzima, narudia tuna mitambo mitano minne Kituo cha Kinyerezi I na mmoja Kituo cha Ubungo III, hii mitambo tumeizima kwasababu mahitaji yapo chini na uzalishaji wa umeme ni mwingi imebidi tuizime, kuhusu mgao hamna mgao kwa sasa”
PIA SOMA
- Waziri Mkuu Majaliwa: TANESCO imezalisha umeme zaidi ya mahitaji
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia
Millard Ayo
We amini tu upo mwingi sana washa koroboi ndio huo upooNa Waziri Mkuu kawaamini!!?
Wapi huko Miss_Mariaah?Huku kwetu tangu asubuhi mpaka Sasa Hatuna umeme🤣
Qatu -watuKuna qatu hawaamini wakisomachi.
Cheza na mama wewe? Anafanya mambo yake bila kujimwambafai, kimya kimya, kama siyo yeye vile.