TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

Hizi akili mgando sijui zitaganduka lini (ila sio akili mgando ni walamba asali kupitia ulaghai wanazidi kutafuta nchi kwa kuleta sababu zisizoeleweka)

Sasa kama umeme ni mwingi zaidi ya mahitaji na kuna watu bado hawajaunganishwa kwanini waliongeza bei ya kuunganishwa kutoka kwenye 27K kurudi kwenye malaki ya Pesa ?

Hawa jamaa yaani hata wangekuwa waigizaji movie yao isingeuza...., sababu hata plot yao ni illogical.... (Stranger than Fiction)
 
Viongozi wa CCM Huwa wanatuchukuliaje wananchi? Mazombi? Watoto? Primitive society? Ama?
 
Hizi akili mgando sijui zitaganduka lini (ila sio akili mgando ni walamba asali kupitia ulaghai wanazidi kutafuta nchi kwa kuleta sababu zisizoeleweka)

Sasa kama umeme ni mwingi zaidi ya mahitaji na kuna watu bado hawajaunganishwa kwanini waliongeza bei ya kuunganishwa kutoka kwenye 27K kurudi kwenye malaki ya Pesa ?

Hawa jamaa yaani hata wangekuwa waigizaji movie yao isingeuza...., sababu hata plot yao ni illogical.... (Stranger than Fiction)
Bei haijawahi kuongezwa,hiyo ya 27k ni bei ya REA na inaendelea kama ilivyokuwa.
 

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi.

TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika Viwanja Vya Bunge Jijini Dodoma.

“Mh. Waziri Mkuu kwa sasa hivi tunavyopngea tuna mitambo karibu mitano ipo nje, haifanyi kazi yoyote ni kwamba tu mahitaji yapo chini uzalishaji upo mwingi kwahiyo tumeiweka tu stand by kwa ajili ya kusubiria mahitaji yakiwa juu tunaiwasha, karibia megawats 175, umeme tunaozalisha ni mwingi mahitajii ni madogo Nchi nzima, narudia tuna mitambo mitano minne Kituo cha Kinyerezi I na mmoja Kituo cha Ubungo III, hii mitambo tumeizima kwasababu mahitaji yapo chini na uzalishaji wa umeme ni mwingi imebidi tuizime, kuhusu mgao hamna mgao kwa sasa”

Millard Ayo
Kwani mara ngapi niliwahi kuwaambia kwamba hata bwawa likamilike,kukatika Kwa umeme hakitakuja kukoma Kwa sababu miundombinu ni chakavu.

Kina January na Maharage waliwaambia inahitajika Trilioni 4 mkasema wanaiba hela.

Haya Sasa umeme huo upo vipi katika katika imekoma? Sababu na jibu hili hapa 👇

View: https://www.instagram.com/reel/C6G97pftHLC/?igsh=MXRxYTlnYXl4Z2Yydw==

View: https://www.instagram.com/p/C6G7tkfNc9P/?igsh=ZjJ4ZWR1bHdvdzN1
 
Nivizuri kupunguza bei ya umeme ili matumizi yawe makubwa, watu wanaogopa kutumia majiko ya umeme ili kupunguza gharama.
Umeongea kama masihara lakini ndio ukweli wenyewe.

Majiko yetu tunatumia plate za gesi tu, plate za umeme hazina kazi, NI upumbavu wa hali ya juu.
 
Umeme ni mwingi ila mchunguze hili swala la kukatika katika. Msithubutu kuuza nje kabla ya kutafuta uvumbuzi wake.
 
Bei haijawahi kuongezwa,hiyo ya 27k ni bei ya REA na inaendelea kama ilivyokuwa.
Aisee hii sijui mara ya ngapi nimerudia hii REA (Vijijini) Kuunganishwa ilikuwa 27K na hii ni kwamba kila mtu kwenye LUKU yake analipia kama Tozo kila unavyonunua UMEME (Mradi wa REA) JPM alivyokuja akasema kila mtu aunganishwa kwa 27K bila kujali kama ni kijijini mpaka Mjini..., Samia kaingia na yeye akasema itaendelea kuwa hivyo..., Zikaanza Sarakasi za Makamba kuhusu gharama n.k...., Samia akapiga U-Turn kwamba gharama ni kubwa kila mtu hawezi kuunganishwa kwa 27K

Sasa sielewi unachobisha hapa ni nini..., nilidhani nilivyokupa taarifa kabla ulielewa na sio kuendelea kubisha vitu ambavyo vipo wazi kabisa
 
Aisee hii sijui mara ya ngapi nimerudia hii REA (Vijijini) Kuunganishwa ilikuwa 27K na hii ni kwamba kila mtu kwenye LUKU yake analipia kama Tozo kila unavyonunua UMEME (Mradi wa REA) JPM alivyokuja akasema kila mtu aunganishwa kwa 27K bila kujali kama ni kijijini mpaka Mjini..., Samia kaingia na yeye akasema itaendelea kuwa hivyo..., Zikaanza Sarakasi za Makamba kuhusu gharama n.k...., Samia akapiga U-Turn kwamba gharama ni kubwa kila mtu hawezi kuunganishwa kwa 27K

Sasa sielewi unachobisha hapa ni nini..., nilidhani nilivyokupa taarifa kabla ulielewa na sio kuendelea kubisha vitu ambavyo vipo wazi kabisa
Baada ya JPM kusema iwe 27k,wewe hapo Mjini uliwahi lipa hiyo ukapata umeme? Acha ujinga hakuna umeme wa 27 Wala haijawahi kuwepo Kwa mjini never.

Popote pale kwenye mradi wa rea iwe mjini(Pembezoni mwa Miji)au Kijijini bei ni 27k
 
Hawa majamaa wanapenda sana media for attention,

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi.

TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika Viwanja Vya Bunge Jijini Dodoma.

“Mh. Waziri Mkuu kwa sasa hivi tunavyopngea tuna mitambo karibu mitano ipo nje, haifanyi kazi yoyote ni kwamba tu mahitaji yapo chini uzalishaji upo mwingi kwahiyo tumeiweka tu stand by kwa ajili ya kusubiria mahitaji yakiwa juu tunaiwasha, karibia megawats 175, umeme tunaozalisha ni mwingi mahitajii ni madogo Nchi nzima, narudia tuna mitambo mitano minne Kituo cha Kinyerezi I na mmoja Kituo cha Ubungo III, hii mitambo tumeizima kwasababu mahitaji yapo chini na uzalishaji wa umeme ni mwingi imebidi tuizime, kuhusu mgao hamna mgao kwa sasa”

Millard Ayo
Yani

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi.

TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati yaliyofanyika Viwanja Vya Bunge Jijini Dodoma.

“Mh. Waziri Mkuu kwa sasa hivi tunavyopngea tuna mitambo karibu mitano ipo nje, haifanyi kazi yoyote ni kwamba tu mahitaji yapo chini uzalishaji upo mwingi kwahiyo tumeiweka tu stand by kwa ajili ya kusubiria mahitaji yakiwa juu tunaiwasha, karibia megawats 175, umeme tunaozalisha ni mwingi mahitajii ni madogo Nchi nzima, narudia tuna mitambo mitano minne Kituo cha Kinyerezi I na mmoja Kituo cha Ubungo III, hii mitambo tumeizima kwasababu mahitaji yapo chini na uzalishaji wa umeme ni mwingi imebidi tuizime, kuhusu mgao hamna mgao kwa sasa”

Millard Ayo
😁😁 Hawa jamaa wanapenda sana media kuseek attention...Yani Umeme umekaa sawa kdg tu washawahi kwenye mic kubwabwaja
 
Baada ya JPM kusema iwe 27k,wewe hapo Mjini uliwahi lipa hiyo ukapata umeme? Acha ujinga hakuna umeme wa 27 Wala haijawahi kuwepo Kwa mjini never.

Popote pale kwenye mradi wa rea iwe mjini(Pembezoni mwa Miji)au Kijijini bei ni 27k
Acha upuuzi kuna jamaa wengi waliunganishwa kwa 27K amekuja Samia akasema itaendelea matokeo yake watu wakawa wanatoa 27K wanaambiwa hakuna Nguzo baadae Samia akafuta kabisa huo Utaratibu...

Sasa tuache kubishana na facts tuongelee hata ngonjera zao kwamba kuunganisha watu kwa 27K ni gharama na hawawezi kufanya hivyo (ukizingatia nguzo ni zao na mita ni zao..., yaani mtu uwalipe ili ununue mali zao) na kwanini wasitoe hata bure ili watu watumie na wapate pesa kuliko kuzima mashine ambazo zingewaongezea pesa na kuzidisha uzalishaji kwa jamii ?

Hivi ni mimi naongea mambo mazito au ni wewe uelewa wako una walakini ?
 
Acha upuuzi kuna jamaa wengi waliunganishwa kwa 27K amekuja Samia akasema itaendelea matokeo yake watu wakawa wanatoa 27K wanaambiwa hakuna Nguzo baadae Samia akafuta kabisa huo Utaratibu...

Sasa tuache kubishana na facts tuongelee hata ngonjera zao kwamba kuunganisha watu kwa 27K ni gharama na hawawezi kufanya hivyo (ukizingatia nguzo ni zao na mita ni zao..., yaani mtu uwalipe ili ununue mali zao) na kwanini wasitoe hata bure ili watu watumie na wapate pesa kuliko kuzima mashine ambazo zingewaongezea pesa na kuzidisha uzalishaji kwa jamii ?

Hivi ni mimi naongea mambo mazito au ni wewe uelewa wako una walakini ?
Narudia kukwambia wewe ni mpuuzi na mjinga.

Jamaa wengi wapi hao? Ulivyo kima huelewi kwamba Kuna mradi wa Rea wa Vitongoji na Miata ya pembezoni mwa Miji inatekelezwa Kwa 27,000.

Hakuna mtu yeyote aliyewahi lipia 27,000 Tanesco akapata umeme, habari za Jamaa zako kamsimulie mkeo.
 
Narudia kukwambia wewe ni mpuuzi na mjinga.

Jamaa wengi wapi hao? Ulivyo kima huelewi kwamba Kuna mradi wa Rea wa Vitongoji na Miata ya pembezoni mwa Miji inatekelezwa Kwa 27,000.

Hakuna mtu yeyote aliyewahi lipia 27,000 Tanesco akapata umeme, habari za Jamaa zako kamsimulie mkeo.
Rudia kusoma ninachojibu nadhani hapa najirudia kama santuri mbovu Jibu haya maswali...
Swali JPM hakusema kila mtu aunganishwa kwa 27K ?
Swali Samia alivyoingia hakusema pia kwamba 27K iendelee
Swali wakati wote wanasema hayo na watu wanatuma maombi hakuna aliyeunganishwa ?

Au unamaanisha walikuwa wanadanganya na hakuna kiumbe yoyote wa mjini aliunganishwa ?

Jibu ni kwamba wengi waliunganishwa na baada ya hii Awamu ya walamba asali kuingia muda si muda kila mtu alikuwa akiuliza kwanini ametoa 27K na anaambiwa nguzo hakuna ndio Samia akaja na Ngonjera za Gharama....

Wala hizi habari sio Siri ni Public Knowledge sasa kama wewe hata haya hujui nina mashaka na ufahamu wako kuhusu current affairs
 
Hizo pesa mnazookoa kwa kizima hiyo mitambo ambayo ni gharama kuiendesha muipeleke kwenye kushusha bei ya kuunganisha umeme. Huwezi sema mahitaji madogo wakati raia wako waliounganishwa umeme hawafiki 70% Angekuwepo JPM leo uunganishwaji wa umeme ungekuwa unakaribia 100%
 
Kuna qatu hawaamini wakisomachi.

Cheza na mama wewe? Anafanya mambo yake bila kujimwambafai, kimya kimya, kama siyo yeye vile.
 
Back
Top Bottom