TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

Umeme au wanaongelea UKIMWI?!
 
mje kutuzimia umeme siku nzma kwa kisingizio cha maboresho,, kumbe ndo mgao ivooo
 
TANESCO kama umeme unazalishwa mwingi ongezeni kipimo cha Unit za Luku tunaponunua basi ili kufidia machungu ya mlivyotukatia katia.
 
Sasa punguzeni Bei kama umeme ni mwingi ili kuvutia wananchi walio wengi kuunganisha umeme.
 
Ni punguani tu anayeweza kuamini hilo. Yaani uzime mitambo ya kuzalisha umeme wakati vijiji Nchi nzima having umeme halafu unajisifu umeme umetuzidi?viwanda vinatumia umeme wa bei ya juu,wananchi wanatumia umeme wa gharama kubwa kulikonchi yeyoye Africa mashariki.
 
Afisa Habari wa Tanesco amemweleza Waziri mkuu mh Majaliwa kwamba wamelazimika kuzima mitambo mitano kwa Sababu Umeme unaozalishwa ni mwingi MNO kuliko mahitaji

Source: Ayo TV

Raha ya Milele umpe e Bwana na Nuru ya Daima Umuangazie Shujaa Magufuli astarehe kwa Amani, amen!
 
Kundi la Samia, Makamba, Nape, JK na Kinana lazima wafure
 
Wafanye maamuzi magumu, ili kuokoa misitu yetu, kuharamisha shughuli za kiuchumia washushe Bei ya umeme kwa kiwango Cha chini kabisa ili kuachana na ma gesi ambayo ni ghali na hatari lakini ujasiriamali utaongezeka
 
Yaani uchawa!
 
hahahahahahahahahahahaha. Ngoja nicheke kwa kichaga. Tanzania hipi. tubusibili week 2 tu
 

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi...
Tanesco wamefanya uamuzi bila kufikiri, ninao uhakika kuwa licha ya majiko ya umeme yapo mengi na baadhi ya wateja wZnayo lakini hawayatumii, kisa bei ya umeme ni kubwa.
 

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1783077345177289131?t=-Rb2gYKOBn8f5_7mUXI7WQ&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…