TANESCO umeme unasumbua sana hasa leo hapa Dar maeneo mengi umeme tatizo! Chondechonde tunaomba muwe mnatoa taarifa! Kazi hazendi kabisa!

TANESCO umeme unasumbua sana hasa leo hapa Dar maeneo mengi umeme tatizo! Chondechonde tunaomba muwe mnatoa taarifa! Kazi hazendi kabisa!

sambulugu

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
4,485
Reaction score
8,562
Naomba nieleweke hii sasa inachosha sana leo tulikuwa ofisini posta umeme umekatika sana aese! Tunaomba maintanance inapofanyika ufanyike pia utaratibu wa kutangaza maeneo yatakayoathiriwa kutokana na matengenezo! Saizi mnakata shagarabagara, wananchi hawana tatizo na umeme kukatika ila kwa ukatikaji huu wa kila mara bila utaratibu inakera sana! Wilaya Temeke saizi maendeo mengi ni giza!
 
Naomba nieleweke hii sasa inachosha sana leo tulikuwa ofisini posta umeme umekatika sana aese! Tunaomba maintanance inapofanyika ufanyike pia utaratibu wa kutangaza maeneo yatakayoathiriwa kutokana na matengenezo! Saizi mnakata shagarabagara, wananchi hawana tatizo na umeme kukatika ila kwa ukatikaji huu wa kila mara bila utaratibu inakera sana! Wilaya Temeke saizi maendeo mengi ni giza!

Unamtoa mbobezi, mzalendo, unaweka mhuni asiye jua chochote, asiyejali wizara nyeti kabisa zinazohitaji weledi, ubabe.

Amefunja bodi kaweka washikaji. Tegemea mateso zaidi.
 
Tanesco ni kama mke anayegoma kutoa unyumba, dawa ilikuwa kuoa mke wa pili sema ndoa ni ya Kikatoliki.
 
Tanesco ni kama mke anayegoma kutoa unyumba, dawa ilikuwa kuoa mke wa pili sema ndoa ni ya Kikatoliki.
Yaani kaka kama unashughuli inategemea umeme moja kwa moja mfano mambo ya ufundi na engineering uko pahala unafanya kazi ya maa mawili umeme unakata massa matatu! Means hapo umepoteza mda bure na kazi ya mteja haijakamilika kwa wakati hapo ndo mvurugano wa ratiba na majukumu! Lakini watu wanashangilia tu mama anaupiga mwingi!
 
Naomba nieleweke hii sasa inachosha sana leo tulikuwa ofisini posta umeme umekatika sana aese! Tunaomba maintanance inapofanyika ufanyike pia utaratibu wa kutangaza maeneo yatakayoathiriwa kutokana na matengenezo! Saizi mnakata shagarabagara, wananchi hawana tatizo na umeme kukatika ila kwa ukatikaji huu wa kila mara bila utaratibu inakera sana! Wilaya Temeke saizi maendeo mengi ni giza!
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

Desemba 15, 2021

TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaskitika kuwatangazia wateja wake, kuwa kumetokea hitilafu kwenye kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Ubungo leo Desemba 15, 2021 saa 3:18 asubuhi.

Mafundi wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo hilo, kufikia saa 5:00 asubuhi huduma ya umeme itakuwa imerejea maeneo yote.

Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza .

Facebook Bei Facebook anmelden

IMETOLEWA NA;
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO MAKAO MAKUU.
 
Naomba nieleweke hii sasa inachosha sana leo tulikuwa ofisini posta umeme umekatika sana aese! Tunaomba maintanance inapofanyika ufanyike pia utaratibu wa kutangaza maeneo yatakayoathiriwa kutokana na matengenezo! Saizi mnakata shagarabagara, wananchi hawana tatizo na umeme kukatika ila kwa ukatikaji huu wa kila mara bila utaratibu inakera sana! Wilaya Temeke saizi maendeo mengi ni giza!
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
TANESCO tafadhali tuoneeni huruma sisi wakazi wa mbagala hapa kipati na kizuiani .

Biashara zetu zinaoza kwa kukosa umeme kwa zaidi ya saa 15.

Tuwashieni hata kidogo alafu muukate tena.
 
TANESCO tafadhali tuoneeni huruma sisi wakazi wa mbagala hapa kipati na kizuiani .

Biashara zetu zinaoza kwa kukosa umeme kwa zaidi ya saa 15.

Tuwashieni hata kidogo alafu muukate tena.
Tafadhali onesha namba ya simu na eneo kwa hatua zaidi
 
Back
Top Bottom