Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Uo umeme ni mchongo wanataka kuukata usiku waibe kurawawashe jenereta moja kwa moja waachane na umeme wa masimango!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uo umeme ni mchongo wanataka kuukata usiku waibe kurawawashe jenereta moja kwa moja waachane na umeme wa masimango!
We dada poa, aliyelalamikia umeme kukatika hovyo ni Lissu au John Mnyika?Hahaha Lisu anatumia nguvu nyingi sana kuzidi grid ya taifa, apunguze mori.
Hahaha Team Lisu tunawafahamu kwa matusi mko vizuri.We dada poa, aliyelalamikia umeme kukatika hovyo ni Lissu au John Mnyika?
Makalla ni wa mjini?Mbowe mtoto wa mjini kaungana na wa down town wenzie kina Abdul,Waziri Rajabu na Amos Makala.
FAM ni FIFOTAL must go.
Hoyo dalili ya kwanza kwamba muda wa kuhesabu kura umeme utakatwa hivyo mnaandaliwa kisaikolojia mlizoee tatizoInadaiwa wanakata umeme na kuwasha mara kwa mara
Taarifa hii ni kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa Ukumbini hapo.
Nashauri wazime umeme wa Tanesco wawashe Generator.
Kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu M/kiti fuatilia LIVE - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Hoyo dalili ua kwanza kwamba muda wa kuhesabu kura umeme utakatwa hivyo mnaandaliwa kisaikolojia mlizoeeInadaiwa wanakata umeme na kuwasha mara kwa mara
Taarifa hii ni kwa Mujibu wa Katibu Mkuu wa Chadema aliyoitoa Ukumbini hapo.
Nashauri wazime umeme wa Tanesco wawashe Generator.
Kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu M/kiti fuatilia LIVE - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Imekuwa mistake kubwa sana mbowe kukubali kununulika kirahisiHuyu mtu kweli ni gaidi
Polisi wamejiandaa kupiga wafuasi wa LISSU baada ya kulazimisha mbowe kushindaWaweke standby generator yani ukumbi mkubwa kama mlimani wanashindwa hili.
Mpaka MTATAGA!Mbowe kaanza kutumia mbìnu za kigaidi sasa.
Anatumia mbinu za kigaidiUmeelewa sasa kwa nini tunamkataa Mbowe?
29 YEARS ARE ENOUGHKikubwa lazima sultan aondoke, mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3208718
Vipi kinyeo kinakuwasha unataka kutaga
Hahaha hakuna cha FIFO, Mbowe will be the last out, Yes, Lisu can go first.FAM ni FIFO
TAL ni LIFO