Pre GE2025 Tanesco yadaiwa kuhujumu Mkutano Mkuu wa CHADEMA. Yakata umeme Lissu akihutubia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hoyo dalili ya kwanza kwamba muda wa kuhesabu kura umeme utakatwa hivyo mnaandaliwa kisaikolojia mlizoee tatizo
 
Hoyo dalili ua kwanza kwamba muda wa kuhesabu kura umeme utakatwa hivyo mnaandaliwa kisaikolojia mlizoee
Huyu mtu kweli ni gaidi
Imekuwa mistake kubwa sana mbowe kukubali kununulika kirahisi
 
Walivyowapuuzi wakakata laini ya Mlimani City
 
Ni amri kutoka juu sisi tulilinda tu ugali wetu. Wa Tanzania mtusamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…