TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M

Hii kitu kimeniumeza akili sana kwa kweli kipindi cha magufulia ndo tumeona wataalam wetu wa IT wakipewa kipaumbele kwa kutengeneza mifumo yetu sisi wenyewe kama Gepg , NHIF , GotTHoMis. Plan Rep FASS. Umhm wa wataalam wetu kutumika kwenye mifumo mhim ya uendeshaji wa nchi ni mkubww Sana kwa usalama wa nchi na vile vile low cost ukilinganisha na gharama za kuwalipia watu kwa dollars na perdiem
 
Kizuri Cha jiuza kama zingekuwepo hizo software zilizotengenezwa kutoka Tanzania tungezijua
 
Mnaolalamika tengenezeni software zenu halafu mkawauzie Tanesco kwa bei nafuu kama mnaona ni kazi nyepesi. Kwa nini mnataka kuandikia mate wakati wino upo? Changamkeni fanyeni kazi andikeni hizo software halafu mkauzie hayo mashirika ya umma.
 
Mnaolalamika tengenezeni software zenu halafu mkawauzie Tanesco kwa bei nafuu kama mnaona ni kazi nyepesi. Kwa nini mnataka kuandikia mate wakati wino upo? Changamkeni fanyeni kazi andikeni hizo software halafu mkauzie hayo mashirika ya umma.
Hio ndo point yangu wanazingua sana
 
Wapigaji kazi yao ni kuwaza ku outsource nje kila kitu ili wapate ten per cent. Ni watu waovu sana maana kwanza wanakubali bei kubwa ili per cent yao iwe kubwa.
Maendeleo ya nchi ni kujenga uwezo wa kujitegemea kwa hiyo wapigaji wala hawastahili kabisa uongozi nchini kama tunataka maendeleo.
 
Tamko la kwanza la Waziri January ilikuwa ni agizo kwa utawala mpya wa TANESCO (Bodi na Menejementi) kuingia "digital". Hivyo siyo ajabu kufufuliwa kwa mkataba huo feki wenye kila aina ya hatari kwa Taifa mbali na ufisadi
 
Hapo cha muhimu, ni ku train watu wetu wa humu ndani kwa nguvu zote, baada ya hapo mnawafungia vioo kimoja...

Kama nchi zilizoendelea zinavyoiba teknolojia za wengine...
 
Kuna uharaka gani wa kutengeneza huo mfumo bila kushirikisha watalaamu wa ndani ya nchi, au japo kutangaza hiyo tender?

Je, mfumo ungeleta maji au kujaza mto Ruvu au kufanya mvua inyeshe ikiwa umetengenezwa na wahindi?

Tatizo kubwa la TANESCO kwa sasa ni kutokuwepo kwa huo mfumo?

1. Nina uhakika 100% huo mfumo unatengenezwa hapa nchini Tanzania bila shida yoyote
2. Hiyo hela inayolipwa kwa wahindi ni "overwhelming"
3. Tungetumia wataalamu wetu, mfumo ungekuwa ni wetu, watalaamu au vijana wetu wangepata ajira, hela ambayo ingetumika ingekuwa ni kiasi kidogo sana ukilinganisha na hiyo waliyolipwa wahindi
4. Usimamizi, usalama/ulinzi, maboresho, na matengenezo ya mfumo, vingeendelea kuwa chini ya wataalamu wetu kwa gharama ndogo
5. Tungeendelea kukua na kujitegemea katika sekta ya software

Matumizi na functionalities za huo mfumo hazitakuwa tofauti sana logically na za huu mfumo Need Human Resource Information/Management System (HRIS/HRMS) (***** - HR SERVICE na mifumo mingine iliyoelezewa hapa https://www.ega.go.tz/uploads/pressreleases/sw-1574867949-ERMS ENG.pd? Kinachotakiwa ni kuadapt tu mifumo iliyopo, kucustomize/kumodify, kuongeza modules na functionalities pale inapotakiwa. Pia Wataalamu wetu wana uwezo wa kutengeneza huo mfumo from scratch.

Huo mfumo unafanana na ipi kati ya hii The 11 Best ERP Solutions for Government and Public Sector Workers?
 
January na genge lake la awamu ya nne wameanza kula keki ya taifa
 
Acha uongo

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
😂
 
Wizi mtupu , EGA wanafanya kazi gani , c kitengo kilichoanzishwa kwa ajili ya kudevelop software za serekali , ujinga mtupu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…