Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Inaweza ikawa sawa, lakini inategemea na miundo mbinu yao ipoje..!! Kama line ni moja and they do not have ring line, hayo yategemee sana tuPreventive maintainance karibu 3/4 ya Tanzania kwa wakati mmoja? Very insane.
Hata nchi zilizoathiriwa na majanga kama kimbunga huwezi kuta huu upumbavu unless level of severity ni kubwa mnooo.