Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ah ah. Nakujulisha ndg mleta mada kuwa huo ulikua uongo au majungu tu kama kawaida yao CCM, nimekuwa na umeme tangu ijumaa bila kukatika ivyo huu ni zaidi ya uzushi tu.Shirika la Umeme nchini Tanzania ( Tanesco) wametangaza mgao wa umeme nchi nzima ulioanza jana Ijumaa ambapo utaenda mpaka Jumatatu ya tarehe 11.
Hayo yote yametokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Songas.
Source:
Azam news
Washike mikono uwazuie wasilambe halafu upige mayowe kama unabakwa kwenye tamasha la uuzaji biskuti.Zito Kabwe na Mbowe wanalamba asali tu
Labda kwenu ila sehemu zingine unakatika kama kawaAh ah. Nakujulisha ndg mleta mada kuwa huo ulikua uongo au majungu tu kama kawaida yao CCM, nimekuwa na umeme tangu ijumaa bila kukatika ivyo huu ni zaidi ya uzushi tu.
Waseme umeme wote wame peleka SGRShirika la Umeme nchini Tanzania ( Tanesco) wametangaza mgao wa umeme nchi nzima ulioanza jana Ijumaa ambapo utaenda mpaka Jumatatu ya tarehe 11.
Hayo yote yametokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Songas.
Source:
Azam news
Wazime tu siku wanasema magufuli aliichosha mitambo eti wao wanaipumzisha hahahahaga kweli WADANGANYIKA zeroo brainShirika la Umeme nchini Tanzania ( Tanesco) wametangaza mgao wa umeme nchi nzima ulioanza jana Ijumaa ambapo utaenda mpaka Jumatatu ya tarehe 11.
Hayo yote yametokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Songas.
Source:
Azam news
Hata ww ukiwapa kiungo chako watakulamba tu.Zito Kabwe na Mbowe wanalamba asali tu
Hawanaga majibu hao zaidi ya kuomba location yako na namba ya simu.[emoji28]
HahahahaHawanaga majibu hao zaidi ya kuomba location yako na namba ya simu.[emoji28]
#MaendeleoHayanaChama
Wewe unafanya nini? Unataka Zitto na Mvowe ndo waandamane?Zito Kabwe na Mbowe wanalamba asali tu
Wewe Lamba mkojo ndio Stahiki yakoZito Kabwe na Mbowe wanalamba asali tu