MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Hii nchi Watawala watafanya watakavyo kwa muda mrefu sana ujao, Watanzania asilimia kubwa wanacho taka kujua ni Usajili ndani ya Yanga na Simba unaendaje basi.
Mtaani vijiweni asilimia 100 ya stories zao ni Yanga na Simba yaani hawana hata na habari na kutaka kujua watoto wao walio maliza vyuo na hawana kazi
Mtaani vijiweni asilimia 100 ya stories zao ni Yanga na Simba yaani hawana hata na habari na kutaka kujua watoto wao walio maliza vyuo na hawana kazi