TANESCO yatangaza mgao wa Umeme nchi nzima kwa siku nne

TANESCO yatangaza mgao wa Umeme nchi nzima kwa siku nne

Shirika la Umeme nchini Tanzania ( Tanesco) wametangaza mgao wa umeme nchi nzima ulioanza jana Ijumaa ambapo utaenda mpaka Jumatatu ya tarehe 11.

Hayo yote yametokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Songas.

Source:
Azam news
Nyambafu Sako! Umeme kama wootee wikendi hii! [emoji240][emoji240][emoji240]
 
Apostle Kuna muujiza umetokea hapa!
Engineer Kipara anazingua sana.
 
Ah ah. Nakujulisha ndg mleta mada kuwa huo ulikua uongo au majungu tu kama kawaida yao CCM, nimekuwa na umeme tangu ijumaa bila kukatika ivyo huu ni zaidi ya uzushi tu.
Hili toto jinga sana
 
Shirika la Umeme nchini Tanzania ( Tanesco) wametangaza mgao wa umeme nchi nzima ulioanza jana Ijumaa ambapo utaenda mpaka Jumatatu ya tarehe 11.

Hayo yote yametokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Songas.

Source:
Azam news
Ungekiwa kiongozi wa Chadema wadiojulikana wangekuwa tayari wamekukamata kimya kimya.
 
Shirika la Umeme nchini Tanzania ( Tanesco) wametangaza mgao wa umeme nchi nzima ulioanza jana Ijumaa ambapo utaenda mpaka Jumatatu ya tarehe 11.

Hayo yote yametokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Songas.

Source:
Azam news
we ni nani pale TANESCO? Una hamu ya kunya selo siyo?
 
Watu wa yuvisisiem bwana, sasa habari imetangazwa kwenye azam news nyie mnaleta habari za kutishana hapa...amkeni bhana
Wewe si Azam na nia yako ni kuleta taharuki tu wakati huu wa sikukuu kwani unataka kusababisha waisilamu washindwe kuswalia sikukuu.
 
Back
Top Bottom