Hizi ndo Comment wakina Mwigulu wakipita humu wakiziona wana screen short wanamtumia Mama kwamba angalia wajinga vitu wanavyo comment, hapo wanagonga GlassMungu ni mwema wakati wote
Awaachie nyie Familia yenu au?Kile kichwa cha treni SGR kimemaliza umeme wote
Kipara atuachie wizara aende zake
Ufafanuzi gani? Yale yanayo endelea Sir Lanka kwa nchi kama Tanzania labda baada ya mika milion 30 ijayo
Utakua unaishi magogoni wewe.Ah ah. Nakujulisha ndg mleta mada kuwa huo ulikua uongo au majungu tu kama kawaida yao CCM, nimekuwa na umeme tangu ijumaa bila kukatika ivyo huu ni zaidi ya uzushi tu.
Kwani ulipowachagua walikuhaidi kutolamba asali?.Zito Kabwe na Mbowe wanalamba asali tu
Ukisema anaupiga Mwingi ndo umetuma ujumve gani? Punguzeni Mipasho, nchi imejaaa Waswahili sana ndo shida kubwa vitu serios watu wanaleta mambo ya Kanga hapa, sasa Anaupigwa Mwungi ok So?Mama anaupiga mwingi
Usha maliza kuandama kwa Coment? Hii nchi ina Waswahili wengi sana,Na kwa hali hii bado wanamsema mwendazake?
Hii nchi imekuwa kama gali bovu,yaani full kwenda garage kila siku,bidhaa bei juu,umeme mgao....
Na kwa hii baridi ya hapa njombe,ngoja tu tuendelee kulala na majiko ya mkaa,ili tukufwee,wafurahii..
Mwigullu ni nani?Hizi ndo Comment wakina Mwigulu wakipita humu wakiziona wana screen short wanamtumia Mama kwamba angalia wajinga vitu wanavyo comment, hapo wanagonga Glass
Hiyo management mpya na waziri mpya hata sioni wanachofanya, wanajua publicity tu kama wasanii wa bongo fleva
Waseme na wanaowalambishaZito Kabwe na Mbowe wanalamba asali tu
Daaaaah.Shirika la Umeme nchini Tanzania ( Tanesco) wametangaza mgao wa umeme nchi nzima ulioanza jana Ijumaa ambapo utaenda mpaka Jumatatu ya tarehe 11.
Hayo yote yametokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Songas.
Source:
Azam news
Na wewe unalambwa kinyeoZito Kabwe na Mbowe wanalamba asali tu
Ulitaka wakusemee ewe Nyumbu usiyejitambjaZito Kabwe na Mbowe wanalamba asali tu