TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima

TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima

Waziri wa nishati ni nani? Nahis ni gang la 2025 yupo pale ili siku ziende kaz kwetu wananchi full mishumaaa
 
Tena Funza waendelee kummalizia huko aliko kama bado hajaisha!!
Hiyo haitaondoa umasikini wako!

Hayati kashaitengenezea njia famili yake!
.
Wewe na umasikini wako utaendelea kuwa fukura huku kina makamba wakikunyonya hadi damu.

Na bado subiiri hadi 2025 utanyooka tu
 
Mradi haziokotwi tena maiti kwenye viroba wala kufuatiliana fatiliana nani kaandika nini mtandaoni INATOSHA!!

Pumbav sana yule mzee!!!
Yaan hapo unajiona na wewe umeandika point balaa...
Ubongo wako mbovu ndio uliosababisha utumbuliwe vyeti feki. kusoma hutaki ajira unataka. Huo ni uwizi km uwizi mwingine. Ilitakiwa muende jela kabisa.
Haya sasa tutajie majina ya waliokutwa kwenye viroba au tutajie hata ndugu aliyelalamika kupotelewa na jamaa yake kwenye hiyo ishu yaviroba.
 
Kwa wapumbavu na mbumbumbu wanaoona mwisho wa pua zao tu kama wewe!
JNHPP is a waste of resources. Tuombe uzima tu. Baada ya kumalizika utakuja kukiri kuwa wewe Crimea ndiye MPUMBAVU.

Mtu anayekumbilia matusi uelewa wake ni mdogo na hawezi kujenga hoja
 
Kwenye awamu ya 5 TANESCO waliamuliwa kuwasha umeme nchi nzima bila kuzingatia matengenezo - sasa vinu vimechoka na haya ndiyo madhara yake.
This is rubbish. Kuna evidence yeyote kuhusu hili? Haya matengenezo wanafanya kila mwezi? Kwani ni mara ya kwanza kusikia wakisema kuna matengenezo? Huu utawala kwa kweli hautoi ishara nzuri
 
Back
Top Bottom