John Pombe Joseph Magufuli tayari kaandikwa kwa wino wa dhahabu kwny vifua vya Wanyonge
Taifa lilipoteza Lulu March 17,2021
Taifa lilipoteza Lulu March 17,2021
Kweli kazi na iendelee...kuna siku jina Joseph John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu. Siku sio nyingi sana....maana naona kama amekataa kufa kwenye maisha yetu