TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima

TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima

Kila Kiongozi aliyepita anakumbukwa na jamii flani ya waTanzania kwa mazuri na mabaya yake, si yeye tu wote waliopita....
Ni kweli kila kiongozi anakumbukwa...kinakuuma nini kusema jina lake John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu? Maana wengine wapo...tusubiri majina yao yataandikwaje 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ni kweli kila kiongozi anakumbukwa...kinakuuma nini kusema jina lake John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu? Maana wengine wapo...tusubiri majina yao yataandikwaje 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Mkuu unaweza kuandika hata sasa hivi kwa wino wa dhahabu. Huna haja ya kuchukia..
 
mwendazake aliamuru TANESCO wasithubutu kuzima umeme nchi nzima no matter what - sasa haya ndiyo madhara yake - tutulie.
Wewe ni mpumbavu mmeo makamba alisema the same kipindi anapewa wizara kuwa mitambo haikufanyiwa service na sasa wanafanyabservice gani punhuza chuki za kike wewe dada.
 
Siwatetei. Ila mvua zilizonyesha ni ndogo sana aisee
Ni kweli, siyo za kujaza bwaw lolote,
Hapa Kwa ukame uliopita ni Bora wachukue TAHADHARI, ya kuboresha huo umeme wa gas!
Labda kama kuna mtu wa Kidatu, Mtera, atuletee habari picha
 
Mkuu unaweza kuandika hata sasa hivi kwa wino wa dhahabu. Huna haja ya kuchukia..
Sichukii..nakushangaa tu. Umeamua kuingia kwa kichwa changu na kutaka nifikiri kama wewe...impossible!!

Let the time decide...everybody will reap what he/she sows!! Na muda pia utaweka wazi kila jambo, hata ya sirini na hata yenye uongo uliogezwa ukweli.
Hatuishi miaka mingi sana duniani, kwahiyo inawezekana wengine baada ya sisi au baada ya miongo kadhaa, kuamua kuupa thamani ukweli.
 
20220128_172420.jpg

tuanze kuimba wimbo wa AY "habari ndio hiyo"
 
Back
Top Bottom