Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Taratibu tutaelewana tu sasa, muda sikuzote huwa hauongopiHatakuja kutokea kama yule kwa Kizazi cha sasa
Tanzania Ilimpoteza Mtu wa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu tutaelewana tu sasa, muda sikuzote huwa hauongopiHatakuja kutokea kama yule kwa Kizazi cha sasa
Tanzania Ilimpoteza Mtu wa kweli
Ni kweli kila kiongozi anakumbukwa...kinakuuma nini kusema jina lake John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu? Maana wengine wapo...tusubiri majina yao yataandikwaje 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kila Kiongozi aliyepita anakumbukwa na jamii flani ya waTanzania kwa mazuri na mabaya yake, si yeye tu wote waliopita....
Hivi hizi tetesi zaweza kuwa na ukweli fulani?Hatakuja kutokea kama yule kwa Kizazi cha sasa
Tanzania Ilimpoteza Mtu wa kweli
Mkuu unaweza kuandika hata sasa hivi kwa wino wa dhahabu. Huna haja ya kuchukia..Ni kweli kila kiongozi anakumbukwa...kinakuuma nini kusema jina lake John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu? Maana wengine wapo...tusubiri majina yao yataandikwaje 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Wewe ni mpumbavu mmeo makamba alisema the same kipindi anapewa wizara kuwa mitambo haikufanyiwa service na sasa wanafanyabservice gani punhuza chuki za kike wewe dada.mwendazake aliamuru TANESCO wasithubutu kuzima umeme nchi nzima no matter what - sasa haya ndiyo madhara yake - tutulie.
Jambo afande CDF!January na Kikwete nia yao ni kuleta makampuni yao yatuuzie umeme wa dharura. Je ni bwawa gani la kufua umeme lina uhaba wa maji?
Ujue tu kwamba ni kati ya wanaotarajiwa kuliongoza Taifa lako huko mbeleni.Ipo siku Januari Makamba atakuja kufungwa Jela!
Ndo atufanyie huu uthenge !? Au kisa kwake kuna standby generator na line ya ikulu hainaga mgao.Acha kuwa msambazaji wa chuki. Kiongozi wako alizunguka nchi nzima na marehemu JPM kuomba kura. Kasota juani kutafuta kura hivyo anayo haki ya kuongoza Tanzania.
Ujue tu kwamba ni kati ya wanaotarajiwa kuliongoza Taifa lako huko mbeleni.
Sijui utahama nchi au
Ni kweli, siyo za kujaza bwaw lolote,Siwatetei. Ila mvua zilizonyesha ni ndogo sana aisee
Sichukii..nakushangaa tu. Umeamua kuingia kwa kichwa changu na kutaka nifikiri kama wewe...impossible!!Mkuu unaweza kuandika hata sasa hivi kwa wino wa dhahabu. Huna haja ya kuchukia..
And you still bought that cheap statementKwenye awamu ya 5 TANESCO waliamuliwa kuwasha umeme nchi nzima bila kuzingatia matengenezo - sasa vinu vimechoka na haya ndiyo madhara yake.
Magu ndiyo nani huyo????Nyinyi si mnamponda Magu kwa ushabiki wenu wa kisiasa safari hii tutanyooka
Kwani bwawa la Nyerere litajaa lini?
Namkumbuka sana huu mzee