Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bado uko hai?Bora kufa kuliko kuishi Tanzania.
Vinu vimechoka baada ya miaka mitano?Kwenye awamu ya 5 TANESCO waliamuliwa kuwasha umeme nchi nzima bila kuzingatia matengenezo - sasa vinu vimechoka na haya ndiyo madhara yake.
mwendazake aliamuru TANESCO wasithubutu kuzima umeme nchi nzima no matter what - sasa haya ndiyo madhara yake - tutulie.Vinu vimechoka baada ya miaka mitano?
Ficha Upumbavu wakoKwenye awamu ya 5 TANESCO waliamuliwa kuwasha umeme nchi nzima bila kuzingatia matengenezo - sasa vinu vimechoka na haya ndiyo madhara yake.
Jamaa wa mfumo dume wanataka kumnyanyapaa SSH kwa jinsia yake na ndio hawa aliowasema siku ile ikulu kwamba wanasema yeye ni rais wa mpito.Hapa nakubaliana na wewe, mama nae anapaswa kuongoza na kuwa raisi. Hakuna walioumbiwa uraisi peke yao.
Ila pia sikubaliani na mengine mabaya yanayotokea
Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 kwa nchi nzima ili kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Mgao huo utaanza Februari Mosi hadi 10 mwaka huu.
Najua nyinyi ni wanufaika wa hiki kinachofanyika ila kuna siku mwisho wenu utafika.mwendazake aliamuru TANESCO wasithubutu kuzima umeme nchi nzima no matter what - sasa haya ndiyo madhara yake - tutulie.
Duu kwahiyo aina hiyo ya mitambo Tanzania tu pekeyake? Na nchi za wenzetu nao hufanya hivi? Wakati mwingine tutumie hata elimu ya msingi basi kujitambua!Kwenye awamu ya 5 TANESCO waliamuliwa kuwasha umeme nchi nzima bila kuzingatia matengenezo - sasa vinu vimechoka na haya ndiyo madhara yake.
;'[['[;[/[']\[[[['[.......................................................................mwendazake aliamuru TANESCO wasithubutu kuzima umeme nchi nzima no matter what - sasa haya ndiyo madhara yake - tutulie.