Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Hivi bado halijaisha tuKwani bwawa la Nyerere litajaa lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi bado halijaisha tuKwani bwawa la Nyerere litajaa lini?
Acha kuwa msambazaji wa chuki. Kiongozi wako alizunguka nchi nzima na marehemu JPM kuomba kura. Kasota juani kutafuta kura hivyo anayo haki ya kuongoza Tanzania.Hakuna kitu kibaya kama kuwa na kiongozi ambaye hajapigiwa kura, hana cha kupoteza
hakikaMtanikumbuka!
Inahusianaje? wamesema sababu ya mgao? Sio kila sababu ni hujuma au kwakua fulani hayupo!!.........................Kweli kazi na iendelee...kuna siku jina Joseph John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu. Siku sio nyingi sana....maana naona kama amekataa kufa kwenye maisha yetu
Tanesco kuanza mgao wa umeme nchi nzima ili kuweka mambo sawa.
Mgao kuanza February 1
Hatimaye lililotabiriwa limetimia, ahsante January
View attachment 2098550
Inaweza kuwa matengenezo makubwa au kama hizo....Unahisi wanaweza toa sababu ambayo hutakubali?
Hili ni trela picha linakuja lenyewe mtamkumbuka uncle Magu kwa kweliKama huo mgao ni wa kweli, basi wenye biashara zinazotegemea huo umeme, tumekwisha!
Halafu makadirio ya kodi yako pale pale!!
Hapa nakubaliana na wewe, mama nae anapaswa kuongoza na kuwa raisi. Hakuna walioumbiwa uraisi peke yao.Acha kuwa msambazaji wa chuki. Kiongozi wako alizunguka nchi nzima na marehemu JPM kuomba kura. Kasota juani kutafuta kura hivyo anayo haki ya kuongoza Tanzania.
Nyinyi si mnamponda Magu kwa ushabiki wenu wa kisiasa safari hii tutanyookaChereko-chereko