Mnakomeshwa sabab wanyonge mlifaid na mafisad walipata shida. So mnakomeshwa kisawasawaWalimtoa Kalemani wizara ya nishati ili watimize malengo na hujuma zao kwa TANESCO na kwa waTanzania…….. yaani mgao unalazimishwa pasipo sababu za msingi!
Unamkubali ila unaona aibu jinsi ulivyokuwa unamchukia tangu zamani!Hu
Huyu jamaa yani. Magufuli asingehusika kwa Ben8 , bomoa nyumba kimara na Lissu alikuwa afadhali
Na bado!Hizo treni za umeme muagize na charger kabisa au battery ili zifanye kazi
Hiyo haitaondoa umasikini wako!Tena Funza waendelee kummalizia huko aliko kama bado hajaisha!!
Bado anakuchapa hata baada ya kufa?Mradi haziokotwi tena maiti kwenye viroba wala kufuatiliana fatiliana nani kaandika nini mtandaoni INATOSHA!!
Pumbav sana yule mzee!!!
Sijambo M,, habari za new year?Hujambo..
Salama kabisa...Sijambo M,, habari za new year?
Kwani si waliambiwa waokote okote kidogo kidogo sio sana.Kukosekana kwa umeme kwa Siku 10 Kwa Nchi zilizoendelea inamaana hata Uchumi wa Nchi Utayumba
Nchi haina Kiongozi hii Wanakula kwa urefu wa Kamba Yao
NdiyoNdio wanataka kuifanyia scheduled repair mitambo ambayo ilimuogopa JPM kuharibika.
unamaanisha chereko de ass au?Chereko-chereko
Yaan hapo unajiona na wewe umeandika point balaa...Mradi haziokotwi tena maiti kwenye viroba wala kufuatiliana fatiliana nani kaandika nini mtandaoni INATOSHA!!
Pumbav sana yule mzee!!!
Ni mjinga pekee ambaye hakutarajia jambo kama hili kutokea kipindi hiki,na bado.Bora siku ziende
JNHPP is a waste of resources. Tuombe uzima tu. Baada ya kumalizika utakuja kukiri kuwa wewe Crimea ndiye MPUMBAVU.Kwa wapumbavu na mbumbumbu wanaoona mwisho wa pua zao tu kama wewe!
This is rubbish. Kuna evidence yeyote kuhusu hili? Haya matengenezo wanafanya kila mwezi? Kwani ni mara ya kwanza kusikia wakisema kuna matengenezo? Huu utawala kwa kweli hautoi ishara nzuriKwenye awamu ya 5 TANESCO waliamuliwa kuwasha umeme nchi nzima bila kuzingatia matengenezo - sasa vinu vimechoka na haya ndiyo madhara yake.