TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima

Acha kuwa msambazaji wa chuki. Kiongozi wako alizunguka nchi nzima na marehemu JPM kuomba kura. Kasota juani kutafuta kura hivyo anayo haki ya kuongoza Tanzania.
Hapa nakubaliana na wewe, mama nae anapaswa kuongoza na kuwa raisi. Hakuna walioumbiwa uraisi peke yao.
Ila pia sikubaliani na mengine mabaya yanayotokea
 
17march 2021 tanzania tulipoteza rais bora duniani hatakuja kutokea tena.kama magao mwanzoni walisema mitambo inafnyiwa marekebisho nasasa ni marekebishe mengine...huu upore wa watanzania ipo siku itafika mwisho .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…