TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima

Hatuwezi wote kuwa na mawazo sawa.....
 
Walimtoa Kalemani wizara ya nishati ili watimize malengo na hujuma zao kwa TANESCO na kwa waTanzania…….. yaani mgao unalazimishwa pasipo sababu za msingi!
Sababu mbona zimetajwa?...au hujasoma habari yote?
 
Ili mradi maiti haziokotwi kwenye viroba na watu kubambikiwa Kesi za uhujumu uchumi inatosha!!
Mbowe yuko mahakamani kwa Kesi ya ugaidi, pamoja na wenzake wanne,Shutuka wwe Mangi, inaonekana ulikuwa na chuki sana na Magufuri
 
Ukweli ni kwamba tuna serikali dhaifu na hovyo mno kwa sasa, kila kitu hakiendi, kila wanalogusa ni kaa la moto. Umeme tayari umeshatutoa jasho, hivi mama yenu alikuja na kasi ya chanjo imefikia wapi? mimi nilijua ilikuwa nguvu ya MBEGE tu, in facts mama na group lake ni inefficient kwa kila jambo.
 
Mlimsifia sana kiko wapi yani kweli karne ya 21 kuna kuwa na mgao kisa kurekebisha mitambo khee hii nchi dah Mungu atuone tu kwanini hatupati viongozi waa maana.
 
Naomba tukubariane wote kama nchi hata Kama Rais hataafiki Kuwa iwapo baada ya hizo siku 10 umeme bado utakatikakatika Waziri Makamba awajibishwe kwa Kufukuzwa kazi!!! Hizi sababu ya Kuwa na mgao Kwa sababu ya matengenezo ameanza kuzitoa toka aingie kwenye hiyo Wizara!!! He seems to focus only in areas where he can sign multimillion $$$ contracts and reap his commissions!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…