Kweli kazi na iendelee...kuna siku jina Joseph John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu. Siku sio nyingi sana....maana naona kama amekataa kufa kwenye maisha yetu
Huyu jamaa yani. Magufuli asingehusika kwa Ben8 , bomoa nyumba kimara na Lissu alikuwa afadhali
Bado wanasubiri crane ya tani 26 inatengenezwa nje ya nchi!Kwani bwawa la Nyerere litajaa lini?
naona kama amekataa kufa kwenye maisha yetu
Dah tena kwa mda mfupiTulishaga sahau haya mambo hatimaye yamerudi upyaa.
Tunafanyaje sasa waukate tu sababu ndo washaamua iwe hivyo.
Hakuna kitu kibaya kama kuwa na kiongozi ambaye hajapigiwa kura, hana cha kupoteza
Amfukuze kwani yeye ndio kamuweka hapo?Naomba tukubariane wote kama nchi hata Kama Rais hataafiki Kuwa iwapo baada ya hizo siku 10 umeme bado utakatikakatika Waziri Makamba awajibishwe kwa Kufukuzwa kazi!!! Hizi sababu ya Kuwa na mgao Kwa sababu ya matengenezo ameanza kuzitoa toka aingie kwenye hiyo Wizara!!! He seems to focus only in areas where he can sign multimillion $$$ contracts and reap his commissions!!
Hadi damu itutoke maskion. Ila ipo siku halafu utokeaga ghafla tu bila kutarajiwa kama Gambia na Burkina faso. Yahya Jameh na Blaise Compaure walishadhani wanaongoza maiti ikatokea ghafla tu licha ya utawala wa vitishoSafi sana
Maana watanzania hawajui mpaka sasa wanataka nini?
Reta mgawoooo huooo
Ova
Amfukuze kwani yeye ndio kamuweka hapo?
Tanzania sisi wote ni kondoo tu,hakuna jipyaKinachokeraa hasa nchi hii ni kitendo cha walio madarakani kudharau wananchi pasi na uoga wowote. Yani wamejiamini kuwa hawawezi fanywa chochote kiasi cha kufanya kila upuuzi bila hata chembe ya hofu.
Watanzania tulivyoaminishwa kuwa amani ni kila kitu tuligubikwa na ujinga wa kufikiria kuwa upumbavu ndio amani yenyewe. Mungu atusimamie.
Na hazitakua 10, zingekua 10 Wala wasingetangaza maana hata sasa mgao upo
Usijali kiba atakusaidiaKukosekana kwa umeme kwa Siku 10 Kwa Nchi zilizoendelea inamaana hata Uchumi wa Nchi Utayumba
Nchi haina Kiongozi hii Wanakula kwa urefu wa Kamba Yao
Dah dogo chonga na shem wako aunganishe na stendby generator. Zile pilka za kugombea remote na beki tatu zitapunguaYAANI HAYA MAMBO TULISHASAHAU
Labda liandikwe na Sukuma gangKweli kazi na iendelee...kuna siku jina Joseph John Pombe Magufuli litaandikwa kwa wino wa dhahabu. Siku sio nyingi sana....maana naona kama amekataa kufa kwenye maisha yetu
Kama umeajiriwa kama mdada wa kazi siku 10 si kitu, kwa sisi tunaochomelea mageti, milango, madirisha, magari na kazi zote zinazohitaji umeme masaa mawili ni hasara kwetu sasa mgao kwa siku 10! Twafa.Tuwe wavumilivu si wameleza sababu na kwa muda wa siku 10 tu
Back in 2019 Arusha umeme haukuwa ukikatika hovyo na siku ukikatika ni haukai sanaa unarudi mpaka nikawa nawadodorishia home ‘Dar… ila sahivi cha moto tunakipata.Hivi kuna sehemu Tz umeme huwa 24/7?
Maana unaelezewa kama ndio mara ya kwanza mgao unaanza
Sisi tumeamua kuweka solar miaka mingi tu