Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bado Tu unamuotaga marehem?Wakati Januari anawekwa hapo wizarani mataahira yakawa yanashangilia eti marehemu anakomolewa!
Kuna thiredi zinakuja wakati mtu unakula ugali na chumvi halafu unawaza katika hiyo milioni si ningepata tu japo elfu 5 ya dagaa, eti jamaniiiiiii
AiseeWakati Januari anawekwa hapo wizarani mataahira yakawa yanashangilia eti marehemu anakomolewa!
Hiyo ndio miradi marekani inasaidia tanzania. Eti kutunza vyura wa kihansi😃. Kwanza tanesco na vyura wapi na wapi. Gharama ya kijinga na ni upigaji tu. Wakati wananchi wanataka gharama ya umeme ipungue tanesco wanatumia shs milioni 600 kulea vyura huko marekani.😆😎
Nje ya mada, hivi Hamza day huwa lini?Hii nchi ukiwa na hasira unaweza eiza kujiua au kugeuka Hamza au vyote