Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh halafu hapo ilikuwa na 27 sàsa 321 bora warudishe 27 vyura wale raha na watiz tupate kidogoHabari wajameni!
Naomba moderator rekebisha title isomeke CAG report imeeleza vyura wa kihansi, Morogoro wanalamba asaliView attachment 2578938
Nchi ina tatizo na kama tusipojirekebisha itauzwa kwa madeniDuh halafu hapo ilikuwa na 27 sàsa 321 bora warudishe 27 vyura wale raha na watiz tupate kidogo
Majizi kila kona.Hii nchi ukiwa na hasira unaweza eiza kujiua au kugeuka Hamza au vyote
Kipara ukimuona anajifanya ana akili nyingi ila mpigaji tuKwani hao vyura ata wakifa wanafaida gani wanazalisha Maji ya kihansi? Huu ni ufisadi
Kwaiyo CAG siyo mtaalamu? Leta hizo za kitaalamuIshu za kitaalam zikijadiliwa na wajinga sio rahisi kupata majawabu. Naamini hao vyura wanasababu ya kugharamiwa.
Unaambiwa mwaka 2020 uliisha huu mradi kipara na maharage wakaurudisha soma report vizuriHii nimecheka tu, lakini ipo kwa zaidi ya miaka 20, so tusilaumiane.
Pia ripoti ya CAG inahitaji context kuielewa na kupima ukweli wa mambo, nani anajua kwanini tulikubali kusaidiwa kuwahifadhi hao vyura??
Unajua sisi kama nchi tunapokea fedha kiasi gani kwenye mambo ya uhifadhi?? Unajua tukikataa kutunza hao vyura tutapoteza nini na nini?
Diplomasia ya uchumi ni pana sana, na wajinga wengi hawawezi kuielewa.
Sio milion ni billion
Asante mkuu!Watz wengi ni mazumbukuku wa kuropoka bila tafakari yoyote.Hii nimecheka tu, lakini ipo kwa zaidi ya miaka 20, so tusilaumiane.
Pia ripoti ya CAG inahitaji context kuielewa na kupima ukweli wa mambo, nani anajua kwanini tulikubali kusaidiwa kuwahifadhi hao vyura??
Unajua sisi kama nchi tunapokea fedha kiasi gani kwenye mambo ya uhifadhi?? Unajua tukikataa kutunza hao vyura tutapoteza nini na nini?
Diplomasia ya uchumi ni pana sana, na wajinga wengi hawawezi kuielewa.
Leo na hii Ijumaa Kuu umeamka na hasira sana, mkuu. 🙂SASA NI RASMI, SISI WATANZANIA NI WAPUMBAVU!!
Kuanzia Tiss, jwtz, polisi na raia wote nikiwemo na mimi SISI SOTE NI WAPUMBAVU TU.
Kwanini???
Wanasiasa wanafanya vyovyote wanavyojisikia na hatuna cha kuwafanya, tunaishia kubweka bweka mtandaoni na vijiweni lakini hatuna cha kuwafanya.
SISI NI WAPUMBAVU!!!!!!! SISI NI WAPUMBAVU!!!! SISI NI WAPUMBAVU!!!!!!!!
Mwaka 2020 Rais alikuwa JPM. Huyo kipara ma maharage hawakuwepo serikalini.Unaambiwa mwaka 2020 uliisha huu mradi kipara na maharage wakaurudisha soma report vizuri
Wakati Januari anawekwa hapo wizarani mataahira yakawa yanashangilia eti marehemu anakomolewa!
Vyura washindwe kuishi kwenye makazi yao waliyokulia, waende kuishi Marekani? Litanzania lote hili, walikosa sehemu ya kuwaweka?Wa vyura kulamba asali au?
Ufafanuzi tafadhari
Pamoja na maungufu yake ila haya kayakuta. Vyura walipelekwa Toka enzi za mkapa huko. Waliwahi kupigia kelele halafu likafunikwaAnaitwa January Makamba.
Kijana mwizi ,fisadi, asiye na uchungu wa Nchi.