TANESCO yatumia Tsh milioni 600 kufuga vyura wa Kihansi Marekani

TANESCO yatumia Tsh milioni 600 kufuga vyura wa Kihansi Marekani

Habari wajameni!

Naomba moderator rekebisha title isomeke CAG report imeeleza vyura wa kihansi, Morogoro wanalamba asali
IMG_20230406_222924.jpg
 
Hii nimecheka tu, lakini ipo kwa zaidi ya miaka 20, so tusilaumiane.

Pia ripoti ya CAG inahitaji context kuielewa na kupima ukweli wa mambo, nani anajua kwanini tulikubali kusaidiwa kuwahifadhi hao vyura??

Unajua sisi kama nchi tunapokea fedha kiasi gani kwenye mambo ya uhifadhi?? Unajua tukikataa kutunza hao vyura tutapoteza nini na nini?

Diplomasia ya uchumi ni pana sana, na wajinga wengi hawawezi kuielewa.
Unaambiwa mwaka 2020 uliisha huu mradi kipara na maharage wakaurudisha soma report vizuri
 
SASA NI RASMI, SISI WATANZANIA NI WAPUMBAVU!!

Kuanzia Tiss, jwtz, polisi na raia wote nikiwemo na mimi SISI SOTE NI WAPUMBAVU TU.

Kwanini???


Wanasiasa wanafanya vyovyote wanavyojisikia na hatuna cha kuwafanya, tunaishia kubweka bweka mtandaoni na vijiweni lakini hatuna cha kuwafanya.

SISI NI WAPUMBAVU!!!!!!! SISI NI WAPUMBAVU!!!! SISI NI WAPUMBAVU!!!!!!!!
 
Hii nimecheka tu, lakini ipo kwa zaidi ya miaka 20, so tusilaumiane.

Pia ripoti ya CAG inahitaji context kuielewa na kupima ukweli wa mambo, nani anajua kwanini tulikubali kusaidiwa kuwahifadhi hao vyura??

Unajua sisi kama nchi tunapokea fedha kiasi gani kwenye mambo ya uhifadhi?? Unajua tukikataa kutunza hao vyura tutapoteza nini na nini?

Diplomasia ya uchumi ni pana sana, na wajinga wengi hawawezi kuielewa.
Asante mkuu!Watz wengi ni mazumbukuku wa kuropoka bila tafakari yoyote.
 
SASA NI RASMI, SISI WATANZANIA NI WAPUMBAVU!!

Kuanzia Tiss, jwtz, polisi na raia wote nikiwemo na mimi SISI SOTE NI WAPUMBAVU TU.

Kwanini???


Wanasiasa wanafanya vyovyote wanavyojisikia na hatuna cha kuwafanya, tunaishia kubweka bweka mtandaoni na vijiweni lakini hatuna cha kuwafanya.

SISI NI WAPUMBAVU!!!!!!! SISI NI WAPUMBAVU!!!! SISI NI WAPUMBAVU!!!!!!!!
Leo na hii Ijumaa Kuu umeamka na hasira sana, mkuu. 🙂
 
Wa vyura kulamba asali au?

Ufafanuzi tafadhari
Vyura washindwe kuishi kwenye makazi yao waliyokulia, waende kuishi Marekani? Litanzania lote hili, walikosa sehemu ya kuwaweka?

Hili jambo lilishajadiliwa mjengoni, ni nani anapaswa kusimamia au kuhakikisha maazimio ya bunge yanatekelezwa? Na yasipotekelezwa nini kinafanyika?

Ni UPUUZI zaidi kusema, "....hii sio sawa, hapa hapaendi sawa..." kisha mwisho unamalizia "....NAUNGA MKONO HOJA mh spika...."

No wonder, qualification ni kujua kusoma na kuandika; Professors, wanazuoni na wasomi walioko humo nao wamekuwa DIMINISHED to that level.
  • ATC hawajui wanayemdai
  • Bei ya ndege inaongezwa mara 2.15
  • Bi 88 zapigwa halmashauri
  • Tanesco na miradi isiyo na Tija, usd 30m
  • Wabadhirifu kubebembelezwa watupishe
  • Nnauye kuwa msemaji wa mitandao ya simu
  • Waziri wa fedha kuwa mmiliki wa klabu za mpira kila anapopewa uwaziri
  • Bil 400 kulipwa kama faini kwa kandarasi kisa ucheleweshaji wa malipo, hapa watu wanatumia hii loophole kulamba asali
  • Tanesco kuanza kununua umeme toka kwa IPP tena, akina Ruge wamerudi

Ukiorodhesha, server itajaa, itoshe kusema PUNDA BILA VIBOKO, HAENDI.
 
Back
Top Bottom