Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kwann yeye alipe MILIONI 600 ndan ya miaka 2 tu?.Pamoja na maungufu yake ila haya kayakuta. Vyura walipelekwa Toka enzi za mkapa huko. Waliwahi kupigia kelele halafu likafunikwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann yeye alipe MILIONI 600 ndan ya miaka 2 tu?.Pamoja na maungufu yake ila haya kayakuta. Vyura walipelekwa Toka enzi za mkapa huko. Waliwahi kupigia kelele halafu likafunikwa
Kuna mikataba unaikuta na huwezi kuivunja tu. Kwani mbona Mzee kailipa kwa miaka 5.2 aliyokaa madarakani?Kwann yeye alipe MILIONI 600 ndan ya miaka 2 tu?.
Nadhani hawa vyura ni special ambao wana uwezo wa kuzalisha umeme. Sasa wakiwa wengi hapo baadae hatutategemea maji, gesi wala nini kuzalisha umeme bali watatumika hawa hawa vyura.Kuna uhusiano gani kati ya vyura na TANESCO?
au Vyura na Umeme?
Kwa nini wasihamishiwe mikoa mingine mpaka waende Marekani?
Hii nchi wapigaji wengi sanaVyura washindwe kuishi kwenye makazi yao waliyokulia, waende kuishi Marekani? Litanzania lote hili, walikosa sehemu ya kuwaweka?
Hili jambo lilishajadiliwa mjengoni, ni nani anapaswa kusimamia au kuhakikisha maazimio ya bunge yanatekelezwa? Na yasipotekelezwa nini kinafanyika?
Ni UPUUZI zaidi kusema, "....hii sio sawa, hapa hapaendi sawa..." kisha mwisho unamalizia "....NAUNGA MKONO HOJA mh spika...."
No wonder, qualification ni kujua kusoma na kuandika; Professors, wanazuoni na wasomi walioko humo nao wamekuwa DIMINISHED to that level.
- ATC hawajui wanayemdai
- Bei ya ndege inaongezwa mara 2.15
- Bi 88 zapigwa halmashauri
- Tanesco na miradi isiyo na Tija, usd 30m
- Wabadhirifu kubebembelezwa watupishe
- Nnauye kuwa msemaji wa mitandao ya simu
- Waziri wa fedha kuwa mmiliki wa klabu za mpira kila anapopewa uwaziri
- Bil 400 kulipwa kama faini kwa kandarasi kisa ucheleweshaji wa malipo, hapa watu wanatumia hii loophole kulamba asali
- Tanesco kuanza kununua umeme toka kwa IPP tena, akina Ruge wamerudi
Ukiorodhesha, server itajaa, itoshe kusema PUNDA BILA VIBOKO, HAENDI.
Being intelligent isn't enough but how your attitude and thoughts guide your intelligence matters the most kiufupi umeandika upupu.Hii nimecheka tu, lakini ipo kwa zaidi ya miaka 20, so tusilaumiane.
Pia ripoti ya CAG inahitaji context kuielewa na kupima ukweli wa mambo, nani anajua kwanini tulikubali kusaidiwa kuwahifadhi hao vyura??
Unajua sisi kama nchi tunapokea fedha kiasi gani kwenye mambo ya uhifadhi?? Unajua tukikataa kutunza hao vyura tutapoteza nini na nini?
Diplomasia ya uchumi ni pana sana, na wajinga wengi hawawezi kuielewa.
Umesoma report ya CAG au umeamua kumtetea anaonewa? Kwa kukusaidia anza kusoma paragraph ya pili kutoka chini, ilyoanza na kusema 'NIMEBAINI"Pamoja na maungufu yake ila haya kayakuta. Vyura walipelekwa Toka enzi za mkapa huko. Waliwahi kupigia kelele halafu likafunikwa
Ndio mana mtu hata akimuona mtoto wake na 5000 anamchoma moto kutokana na stress za hawa watawala wetuHii nchi ukiwa na hasira unaweza eiza kujiua au kugeuka Hamza au vyote
Juni 2020 wakati mkataba unaongezwa waziri ni nani? Mpango. Na je nani aliongeza mkataba?? Acheni kuangalia chini. Hakuanza yeye bana. Kaingia kwenye Baraza October 2021. Acheni kumchukia mtu Mpaka mmfungie na yasiyomhusu.Umesoma report ya CAG au umeamua kumtetea anaonewa? Kwa kukusaidia anza kusoma paragraph ya pili kutoka chini, ilyoanza na kusema 'NIMEBAINI" View attachment 2579672
Na hiyo 2020/2021 alikuwa January Makamba?! Na huo mkataba ambao uliongezwa June 2020 ilikuwa January Makamba?! Au umekurupuka tu kusoma heading bila kusoma content?!Anaitwa January Makamba.
Kijana mwizi ,fisadi, asiye na uchungu wa Nchi.
Inaonekana na wewe mwenyewe hujasoma kilichoandikwa pamoja na kuki-post.. January kaingia wizarani mwishoni mwa 2021 wakati hicho kiwango ni cha 2020/2021 ambapo hakuwepo kabisa na 2021/2022 ambapo alihudumu msimu huo kwa miezi 6 na miezi 6 mingne ni ya Kalemani. In addition, taarifa inasema Mkataba uliongezwa June 2020, muda ambao pia hakuwepo! Sasa huoni wewe ndo unajaribu kumnasua mtu ambae alihudumu kwa miezi 18 wakati hayo yanatokea?Umesoma report ya CAG au umeamua kumtetea anaonewa? Kwa kukusaidia anza kusoma paragraph ya pili kutoka chini, ilyoanza na kusema 'NIMEBAINI" View attachment 2579672
Wewe ulikuwa wapi??Wakati Januari anawekwa hapo wizarani mataahira yakawa yanashangilia eti marehemu anakomolewa!
Report hii inamuhusu kalemani au makamba?Inaonekana na wewe mwenyewe hujasoma kilichoandikwa pamoja na kuki-post.. January kaingia wizarani mwishoni mwa 2021 wakati hicho kiwango ni cha 2020/2021 ambapo hakuwepo kabisa na 2021/2022 ambapo alihudumu msimu huo kwa miezi 6 na miezi 6 mingne ni ya Kalemani. In addition, taarifa inasema Mkataba uliongezwa June 2020, muda ambao pia hakuwepo! Sasa huoni wewe ndo unajaribu kumnasua mtu ambae alihudumu kwa miezi 18 wakati hayo yanatokea?
Kijana wa hovyo kabisa aliyejaa ubinafsiiAnaitwa January Makamba.
Kijana mwizi ,fisadi, asiye na uchungu wa Nchi.