Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Ni sawa, ila usifanya maamuzi yako yote kutegemea pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa, ila usifanya maamuzi yako yote kutegemea pesa
Sio Drc yote kuna vita . Burundi maisha yapo chini na pesa ulizoiba uta enjoy sanaBurundi na DRC si sehemu salama ya kuishi. Zambia sawa.
DahHii habari ina ukakasi sana, ukute karushwa na watu ambao aidha walimuwinda kwasababu ya masuala ya kodi au kuna watu wamepiga hela nyingi kwa jina lake wakaamua kumu- eliminate
Uchunguzi ufanyike. Alikuwa kwenye Kuandaa Taarifa maalum sasa iweje ahirusheMfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi
Na ukipata kazi huko inabidi utafute chemba wakupike haswa!vinginevyo unaweza kuondoka kichwa tu kuuma,kujirusha ghorofani,ajali ya kijinga sana n.kiufupi vifo vya kutengenezwa ni vingi.Umepona sana kufukuzwa kazi.Kwenye hizi kazi za TRA, Immigration & TPA kujiua ni jambo dogo tu. Huko kunakuwaga na mambo mengi sana.
We uliruka kama spiderman. Mwenzio kajitupa. Halafu inategemea na height, nyumba nyengine ceiling ipo futi chache na nyengine futi nyingiKuruka kutoka ghorofa ya pili sidhani kama unaweza kufa maana nilishawai kuruka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungetanguliza kichwa ungepona?Kuruka kutoka ghorofa ya pili sidhani kama unaweza kufa maana nilishawai kuruka.
Sent using Jamii Forums mobile app
DRC hata kama hakuna vita watu wake sio wastaarabu. Pia machafuko ya hapa na pale huwa yanatokea... kwa mfano Lubumbashi hakuna vita ila siku moja moja mjini kinanuka..Sio Drc yote kuna vita . Burundi maisha yapo chini na pesa ulizoiba uta enjoy sana
Mwezi uloisha alifiwa na baba yake mzazi... akiwa training Tanga hakua na mahudhurio mazuri mpka umauti ulipomkuta.. msikimbilie katika conclusion.. huyo alikua na depressionHii habari ina ukakasi sana, ukute karushwa na watu ambao aidha walimuwinda kwasababu ya masuala ya kodi au kuna watu wamepiga hela nyingi kwa jina lake wakaamua kumu- eliminate
Ana umri gani hadi useme depression? Umesema mwezi uliopita maana yake ni June, ndio aje kufanya maamuzi late july?Mwezi uloisha alifiwa na baba yake mzazi... akiwa training Tanga hakua na mahudhurio mazuri mpka umauti ulipomkuta.. msikimbilie katika conclusion.. huyo alikua na depression
Acha kuspeculate vitu ambavyo havipo.. what if hakuwa na mahusiano mazuri na mzazi wake? Depression inampata yoyote na wakati wowote.Ana umri gani hadi useme depression? Umesema mwezi uliopita maana yake ni June, ndio aje kufanya maamuzi late july?
KaWaio conclusion ni alijiua kwa msongo wa mawazo polisi waachane na uchunguzi?Acha kuspeculate vitu ambavyo havipo.. what if hakuwa na mahusiano mazuri na mzazi wake? Depression inampata yoyote na wakati wowote.
Sio wastaarabu kivipi embu niambie hapo maana nimepanga nizamie hukoDRC hata kama hakuna vita watu wake sio wastaarabu. Pia machafuko ya hapa na pale huwa yanatokea... kwa mfano Lubumbashi hakuna vita ila siku moja moja mjini kinanuka..
Kwa hiyo unataka kusema kua wote wasiokua na mahusiano mazuri na Wazazi wao wanastaili kujinyonga!!??Acha kuspeculate vitu ambavyo havipo.. what if hakuwa na mahusiano mazuri na mzazi wake? Depression inampata yoyote na wakati wowote.
Hiyo chamber ya kutafuta ili nipikwe, ni Yesu Kristo pekee.Na ukipata kazi huko inabidi utafute chemba wakupike haswa!vinginevyo unaweza kuondoka kichwa tu kuuma,kujirusha ghorofani,ajali ya kijinga sana n.kiufupi vifo vya kutengenezwa ni vingi.Umepona sana kufukuzwa kazi.