YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
ntaenda kuchukua keki na mengineyo[emoji16]
Nimekutuma unifatie cake tu! Hayo mengineyo ya kwako [emoji23][emoji23][emoji23]
Leejay babe wake JWTZ jimix mi simooooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ntaenda kuchukua keki na mengineyo[emoji16]
Kama inakuja kuja hivi.Ukute amerushwa baada ya kugoma kupika data
Angenipasia Hilo shsvu kabla ya kujirusha ghorofaniJamaa yupo kwenye ajira nono ....afu anajiua ,[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweliii upele humuota asiyena kucha
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Usikute amerushwa
Unarukaje ghorofa ya pili na Ghorofa 5 kwenda Juu Zipo !Kuruka kutoka ghorofa ya pili sidhani kama unaweza kufa maana nilishawai kuruka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikute kaenda Tanga kapata demu kumbe mke wa mtu maana wanawake wa Tanga ukimtongoza mke wa mtu kama kakuelewa wala hasemi kama ni mke wa mtuYani kaamua kuacha per diem? kuna kitu.
Asilimia kubwa sana yawezekana amerushwa ili kupisha kiwingu ktk ulaji wa watu
Kuna Red flag hapoUsikute amegusa live wire halafu amekataa ku- compromise watu wakaamua kupita naye kufuta ushahidi.
Ukiwabania njia ni lazima wataisafisha upende usipendeWatu hawana mzaa kwenye hela😃😃😂😂😂
Kabla ya kufa unapaa kama ndege .sasa kwa nini watu wasiipende .Hii style ya kujirusha ghorofani naona inashika kasi
Najirushaje gorofani jamani niache yale macho yako mazuriItakua kuna jambo si bure
Unaweza ukarushwa tu sio lazima uruke weweMungu aniepushie hata kama napitia magumu kiasi gani anipe subra.
Sio kila kizuri huletwa na pesa,bali vizuri vingi ndio huletwa na pesa.
Washamba tu na uoga wao ukijijua umeiba nenda Kigoma dandia gari tokomea burundi au DrcKwenye hizi kazi za TRA, Immigration & TPA kujiua ni jambo dogo tu. Huko kunakuwaga na mambo mengi sana.
Yaani nitakushangaa sanaNajirushaje gorofani jamani niache yale macho yako mazuri
Usikute kakutana na maraha ya mtoto wa kitanga tu. Pamoja na maraha hayo aliyokabidhiwa akaachwa akaona Bora atangulie kwa sagodiJamaa yupo kwenye ajira nono ....afu anajiua ,[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweliii upele humuota asiyena kucha
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app