Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
But Kila kizuri huletwa na pesaPesa sio kila kitu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But Kila kizuri huletwa na pesaPesa sio kila kitu
aah we, ntakufanya Richie Walalaze
ntaweka ile kideo hapa 🙁 , we nichokonoe tuThubutuuuuu!!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawasawa 😃Hell Yeah 😍
ntaweka ile kideo hapa 🙁 , we nichokonoe tu
Kwa mujibu wa taarifa
Sawasawa [emoji2]
Nimejilaza hapa naona tabu kuamka,, uje uchukue 😃Jirani nimerudi nipitishie cake yangu [emoji4]
Mi nahisi jamaa ameuliwa na wenzake wa tra ama amepotezwa na wafanyabiashara .. kuna dili alikuwa anakwamisha
zumbemkuu huyu ni Nani?Mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi
Nimejilaza hapa naona tabu kuamka,, uje uchukue [emoji2]
Watu hawana mzaa kwenye hela😃😃😂😂😂Hzi Dili ukiwa mzalendo ni lazima wakurushe.
We Kama ni mzalendo achana na kazi za vitengo kuzibia watu kupiga kafanye kazi ya ualimu au jeshi.
Huko utaendana sawa na uzalendo wako.
Watu wanawaza v8 halafu wewe kikwazo utapisha njia lazima
We acha tu😂😂😂,, ufanye uje uchukue mimi hapa kuamka hadi keshoUlicheza sana mapiano nene jirani?!!
Asumoneeeeeyy kwa sanaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki kwa msiba huu mzitoMfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi
We acha tu[emoji23][emoji23][emoji23],, ufanye uje uchukue mimi hapa kuamka hadi kesho
Hii niliisikiaga eti aliota akadondoka akavunjika mbavu mbili... Hebu sema kidogo ilikuwajeMnakumbuka inshu ya chameleon arusha? Dunia uwanja wa fujo
Mimi niliruka enzi hizo tunacheza komborela. Ila utoto Mungu alikuwa anatuma malaika wake kutulinda kweli walikiwa wanafanya kazi ya ulinzi kweli kweliKuruka kutoka ghorofa ya pili sidhani kama unaweza kufa maana nilishawai kuruka.
Sent using Jamii Forums mobile app
ntaenda kuchukua keki na mengineyo😁Namtuma mdogo angu mshamba_hachekwi aje anifatie [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama serikali ingekuwa inathamini uhai wa raia wake, tangu yule MC aliyeanguka ghorofani pale Makumbusho na vifo vingi vya kujiua ingekuja na working plan kupitia maafisa ustawi wa jamii on anger and stress management.Mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi