Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

Mi nahisi jamaa ameuliwa na wenzake wa tra ama amepotezwa na wafanyabiashara .. kuna dili alikuwa anakwamisha

Hii yawezekana mkuu kabisa Yaani mara nyingi inakuwa hivyo,

Mfano mmoja Kule pande za Kawe beach karibu na nyumba Assas, kuna mtu aliuwawa (beach boy) Huyu jamaa kila siku alikuwa anasema speedboat zinakuja usiku hapa kila week na Kwa kuwa yeye alikuwa analala pale ufukweni Basi siku zikapita na jamaa alikuwa anazidi kuropoka Basi alikutwa amekufa na wakasema amezama katika maji, Ila aliuwawa Kwa Sababu alikuwa anaongea ongea kuhusu biashara za watu hasa wanaotumia bandari bubu
 
Mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.

Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.

Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.

Chanzo: Mwananchi
zumbemkuu huyu ni Nani?
 
Mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.

Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.

Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.

Chanzo: Mwananchi
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki kwa msiba huu mzito
 
Mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.

Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.

Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.

Chanzo: Mwananchi
Kama serikali ingekuwa inathamini uhai wa raia wake, tangu yule MC aliyeanguka ghorofani pale Makumbusho na vifo vingi vya kujiua ingekuja na working plan kupitia maafisa ustawi wa jamii on anger and stress management.

Nahisi hivi vifo siyo voluntary. Aina mpya ya redundancy
 
Back
Top Bottom