Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

Uchunguzi ufanyike. Alikuwa kwenye Kuandaa Taarifa maalum sasa iweje ahirushe
 
Kwenye hizi kazi za TRA, Immigration & TPA kujiua ni jambo dogo tu. Huko kunakuwaga na mambo mengi sana.
Na ukipata kazi huko inabidi utafute chemba wakupike haswa!vinginevyo unaweza kuondoka kichwa tu kuuma,kujirusha ghorofani,ajali ya kijinga sana n.kiufupi vifo vya kutengenezwa ni vingi.Umepona sana kufukuzwa kazi.
 
Sio Drc yote kuna vita . Burundi maisha yapo chini na pesa ulizoiba uta enjoy sana
DRC hata kama hakuna vita watu wake sio wastaarabu. Pia machafuko ya hapa na pale huwa yanatokea... kwa mfano Lubumbashi hakuna vita ila siku moja moja mjini kinanuka..
 
Hii habari ina ukakasi sana, ukute karushwa na watu ambao aidha walimuwinda kwasababu ya masuala ya kodi au kuna watu wamepiga hela nyingi kwa jina lake wakaamua kumu- eliminate
Mwezi uloisha alifiwa na baba yake mzazi... akiwa training Tanga hakua na mahudhurio mazuri mpka umauti ulipomkuta.. msikimbilie katika conclusion.. huyo alikua na depression
 
Ana umri gani hadi useme depression? Umesema mwezi uliopita maana yake ni June, ndio aje kufanya maamuzi late july?
Acha kuspeculate vitu ambavyo havipo.. what if hakuwa na mahusiano mazuri na mzazi wake? Depression inampata yoyote na wakati wowote.
 
K
Acha kuspeculate vitu ambavyo havipo.. what if hakuwa na mahusiano mazuri na mzazi wake? Depression inampata yoyote na wakati wowote.
KaWaio conclusion ni alijiua kwa msongo wa mawazo polisi waachane na uchunguzi?
 
DRC hata kama hakuna vita watu wake sio wastaarabu. Pia machafuko ya hapa na pale huwa yanatokea... kwa mfano Lubumbashi hakuna vita ila siku moja moja mjini kinanuka..
Sio wastaarabu kivipi embu niambie hapo maana nimepanga nizamie huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…