Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.

Chanzo: Mwananchi
Halafu akajirusha?
Anyways, ana maisha mengine pia, so inawezekana.
Acha kwa sasa isomeke hivyo.
 
Makazini kuna mambo magumu sana ndg zangu unaweza ukawa unapiga kazi zako kwa weledi tu kwa mujibu wa sheria,kanuni na taratibu lakini kuna watu watakutafutia sababu uharibikiwe sasa bila kuwa na sala hutoboi inakujia maamuzi magumu unarudi kwa muumba wako na ndg unawashirikisha mambo yanakaa sawa kiukweli makazini kuna mambo huyo utakuta kafanyiwa ukuda akahisi yupo ndotoni kumbe ndo haya
 
Makazini kuna mambo magumu sana ndg zangu unaweza ukawa unapiga kazi zako kwa weledi tu kwa mujibu wa sheria,kanuni na taratibu lakini kuna watu watakutafutia sababu uharibikiwe sasa bila kuwa na sala hutoboi inakujia maamuzi magumu unarudi kwa muumba wako na ndg unawashirikisha mambo yanakaa sawa kiukweli makazini kuna mambo huyo utakuta kafanyiwa ukuda akahisi yupo ndotoni kumbe ndo haya
Hatari sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom