Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Naona saivi ndo njia ya kuua watu inayotumiwa...mna uhakikaa... kajirusha au karushwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona saivi ndo njia ya kuua watu inayotumiwa...mna uhakikaa... kajirusha au karushwa?
Hakuwa makini. Ghoropha ya pili ni karibu sana,unaweza usife na huwezi kunyanyuka kwenda kuruka tena ili ujimalizie(kama alipanga kujiua mwenyewe)
usalama mdoogo bila Yeeesu..... sehemu ya wimbo naoulewa sanNaona saivi ndo njia ya kuua watu inayotumiwa...
Kuna bahasha ikiwekwa mezani....wewe kama RPC UNAJUA Moja kwa moja kwamba kajiua tu...hata iweje...kama bandari tu usjifanye spika imetoboka unakoroma!Wamejuaje kama amejirusha na hajarushwa (Au upelelezi umekwisha na wame-conclude beyond reasonable doubt)
Wanalogana?Kwenye hizi kazi za TRA, Immigration & TPA kujiua ni jambo dogo tu. Huko kunakuwaga na mambo mengi sana.
SijuiWanalogana?
Lazima maisha yaendeleeHawana utu kivipi ?
Mfano dereva wa treni amefariki. Kama asipoajiriwa mtu mwingine treni hilo litaendeshwa na nani ama litajiendesha lenyewe ?
Na yule juzi tu Cathy Hotel Moro aliyekufa.Mnakumbuka inshu ya chameleon arusha? Dunia uwanja wa fujo
Au kazi aliyofanya ingeathiri reputation ya wenzakeHii habari ina ukakasi sana, ukute karushwa na watu ambao aidha walimuwinda kwasababu ya masuala ya kodi au kuna watu wamepiga hela nyingi kwa jina lake wakaamua kumu- eliminate
Halafu ni ndugu yetu huyu.. NitafuatiliaMfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Arusha, Richard Walalaze (35) amekutwa amefariki baada ya kujirusha kutoka ghorofani jijini Tanga.
Akithibitisha tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Henry Mwaibambe amesema kuwa mfanyakazi huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya Hoteli ya Ocean Breez jijini Tanga alikokuwa amepanga chumba tangu Julai 16 mwaka huu.
Mwananchi imefahamishwa kuwa Richard alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya Mamlaka hiyo ya mwaka.
Chanzo: Mwananchi
Una hakika kajirusha?Jamaa yupo kwenye ajira nono ....afu anajiua ,[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweliii upele humuota asiyena kucha
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sidhani maana amekaa siku10 Hotel, mind you sio gest wa Lodge. huyu kuna jambo kafanyiwa, huwenda kafumaniwa akapakwa mafuta na kurekodiwaAu kazi aliyofanya ingeathiri reputation ya wenzake
Mbona wengine hawajiuwi huo alikuwa na wenge lake tu..Kwenye hizi kazi za TRA, Immigration & TPA kujiua ni jambo dogo tu. Huko kunakuwaga na mambo mengi sana.
Huko TPA utakuta kuna likesi la mabilioni kupotea na ukijicheki hata kumi huna .. watu wanajiua wengine presha zinapandaMbona wengine hawajiuwi huo alikuwa na wenge lake tu..
Kama ni stress basi walimu wangekuwa najiuwa kilasiku..