Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

Hakuwa makini. Ghoropha ya pili ni karibu sana,unaweza usife na huwezi kunyanyuka kwenda kuruka tena ili ujimalizie(kama alipanga kujiua mwenyewe)

Inategemea ameangukia sehemu gan ya mwili, kama ni kichwa hapo ni hatari sana.
 
Wamejuaje kama amejirusha na hajarushwa (Au upelelezi umekwisha na wame-conclude beyond reasonable doubt)
Kuna bahasha ikiwekwa mezani....wewe kama RPC UNAJUA Moja kwa moja kwamba kajiua tu...hata iweje...kama bandari tu usjifanye spika imetoboka unakoroma!
 
Bongo forensic investigation hatupo vizuri...
Hatuna vifaa vya uchunguzi wa kisayansi... Kisha pia angalia taasisi yenyewe ni TRA... Hapo polisi wakija ni mwendo wa pesa mbele na kuandaa ripoti kipesa pesa...

Kuna billionea wa kirusi alianguka kwenye hoteli ghorofa ya 14 miaka kama miwili iliyopita..
Wakaja wachunguzi na vifaa vyao.. Wakascan sakafu/ tiles katika floor ya hoteli baada ya kuchukua viatu alivyokuwa amevaa billionea huyo mara ya mwisho..
Majibu yakaonyesha alipokuwa amesimama kulikuwa na viatu vingine pembeni.. Ikimaanisha wakati anaruka kulikuwa na watu pembeni yake..
Ikafahakima alirushwa kwa nguvu na watu wasiofahakima... Na wakachukua baadhi ya sample kama nguo.. Kujaribu kuestablish dna ya watu waliokuwamo ndani na mtu huyo..
 
Halafu ni ndugu yetu huyu.. Nitafuatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…