Pre GE2025 Tanga: Mafuriko ya Rais Samia katika Uwanja wa Mkwakwani

Pre GE2025 Tanga: Mafuriko ya Rais Samia katika Uwanja wa Mkwakwani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga tarehe 28 Februari, 2025.
IMG-20250228-WA0028.jpg
IMG-20250228-WA0029.jpg
IMG-20250228-WA0030.jpg
IMG-20250228-WA0031.jpg
IMG-20250228-WA0032.jpg
IMG-20250228-WA0033.jpg
IMG-20250228-WA0034.jpg
IMG-20250228-WA0035.jpg
IMG-20250228-WA0036.jpg
IMG-20250228-WA0037.jpg
IMG-20250228-WA0038.jpg
IMG-20250228-WA0039.jpg
IMG-20250228-WA0040.jpg
IMG-20250228-WA0041.jpg
IMG-20250228-WA0022.jpg
IMG-20250228-WA0023.jpg
IMG-20250228-WA0024.jpg
IMG-20250228-WA0025.jpg
IMG-20250228-WA0027.jpg
IMG-20250228-WA0026.jpg
 
Shamrashamra za wananchi kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga tarehe 28 Februari, 2025.
IMG-20250228-WA0016.jpg
IMG-20250228-WA0017.jpg
IMG-20250228-WA0018.jpg
IMG-20250228-WA0019.jpg
IMG-20250228-WA0020.jpg
IMG-20250228-WA0021.jpg
46dbeb2f4d234f1b8972e6f48ab4134b.jpg
IMG-20250228-WA0042.jpg
IMG-20250228-WA0043.jpg
IMG-20250228-WA0044.jpg
2509143190e94ee987671fe89cf23170.jpg
IMG-20250228-WA0045.jpg
ece44f1bb9ee4b4398dcf29454d6f474.jpg
IMG-20250228-WA0046.jpg
IMG-20250228-WA0047.jpg
IMG-20250228-WA0048.jpg
IMG-20250228-WA0050.jpg
IMG-20250228-WA0049.jpg
 
Mwambieni mama, hapo amezungukwa na kundi la watu wanaoishi chini ya dola moja na upande mwingine amezungukwa na kundi la watu ambao kazi yao nikuwafanya hao maelfu waishi chini ya dola moja.

Sidhani kama kwenye hilo kusanyiko la oyaoya kuna mtu mwenye kipato cha uhakika cha kuanzia 1,000,000 na kuendelea.

Tuupige vita umasikini ili tuache kutumiwa kijingajinga baadala yake tuishi kwa kutumia akili zetu na kuamua kwa akili zetu.
 
Naomba kufahamishwa kawanini coat of arms wameondoa wale bibi na bwana?
 
Kujaza hao watu hapo wamehusika mkuu wa mkoa / walaya, mkurugenzi, katibu wa mkoa bado viongozi wa chama na machawa waliopakiwa kwenye malori ulitegemea usijae?
 
Kujaza hao watu hapo wamehusika mkuu wa mkoa / walaya, mkurugenzi, katibu wa mkoa bado viongozi wa chama na machawa waliopakiwa kwenye malori ulitegemea usijae?
MIJITU YA PWANI OVYO
 
Mwambieni mama, hapo amezungukwa na kundi la watu wanaoishi chini ya dola moja na upande mwingine amezungukwa na kundi la watu ambao kazi yao nikuwafanya hao maelfu waishi chini ya dola moja.

Sidhani kama kwenye hilo kusanyiko la oyaoya kuna mtu mwenye kipato cha uhakika cha kuanzia 1,000,000 na kuendelea.

Tuupige vita umasikini ili tuache kutumiwa kijingajinga baadala yake tuishi kwa kutumia akili zetu na kuamua kwa akili zetu.
Huo umati wa watu umetoka pande zote za nchi
 
Back
Top Bottom