wakati nipo shule Tanga school nakumbuka tushapanda sana zile bus za tashriff na tahmeed. eti wanafunzi twende tukajazane mkwakwani ilimradi ionekane kulikuwa na mwitikio wa raia. aibu sana hiki Chama Cha MbogambogaKujaza hao watu hapo wamehusika mkuu wa mkoa / walaya, mkurugenzi, katibu wa mkoa bado viongozi wa chama na machawa waliopakiwa kwenye malori ulitegemea usijae?