Pre GE2025 Tanga: Mafuriko ya Rais Samia katika Uwanja wa Mkwakwani

Pre GE2025 Tanga: Mafuriko ya Rais Samia katika Uwanja wa Mkwakwani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kujaza hao watu hapo wamehusika mkuu wa mkoa / walaya, mkurugenzi, katibu wa mkoa bado viongozi wa chama na machawa waliopakiwa kwenye malori ulitegemea usijae?
wakati nipo shule Tanga school nakumbuka tushapanda sana zile bus za tashriff na tahmeed. eti wanafunzi twende tukajazane mkwakwani ilimradi ionekane kulikuwa na mwitikio wa raia. aibu sana hiki Chama Cha Mbogamboga
 
😂
 

Attachments

  • Screenshot_20250228-223832.jpg
    Screenshot_20250228-223832.jpg
    325.2 KB · Views: 2
Itakuwa wasanii wakutumbuiza walikuwepo wakutosha, mama hanaga mvuto hasa jukwaani hotuba zake zimepooza sana...watu wengi hawawezi enda kumsikiliza pasipo hadaa!.
 
Ccm kimekuwa chama cha hovyo kinachofanya serikali nayo ionekano ya hovyo. Serikali ni ya watanzania wote hayo mambo ya uccm kwenye shughuli za kiserikali hayakutakiwa kuwepo kwa sababu yanawagawa watu.
 
Kujaza hao watu hapo wamehusika mkuu wa mkoa / walaya, mkurugenzi, katibu wa mkoa bado viongozi wa chama na machawa waliopakiwa kwenye malori ulitegemea usijae?
Kama hivyo ndivyo, unategemea KURA kwa Samia zisitoshe?

Ndiyo maana "NO REFORM NO ELECTION" ni lazima itimie.
 
Back
Top Bottom