Tanga: Mahakama yazuia Dhamana ya Kombo Mbwana, ataendelea kubaki Rumande

Tanga: Mahakama yazuia Dhamana ya Kombo Mbwana, ataendelea kubaki Rumande

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Baada ya mvutano wa siku kadhaa kuhusu dhamana ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana, Mahakama ya Wilaya ya Tanga imeuhitimisha kwa kufunga dhamana yake.

Uamuzi wa kufunga dhamana umetolewa Alhamisi, Septemba 5, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Tanga, Moses Maroa kutokana na maombi ya Jeshi la Polisi.

Kombo ambaye ni Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Wilaya ya Handeni Vijijini, anakabiliwa na kesi ya jinai, akidaiwa kutumia vifaa vya mawasiliano ikiwemo kadi ya simu ya mkononi isiyosajiliwa bila kutoa taarifa.

Licha ya mashtaka yanayomkabili kuwa na dhamana, mahakama leo imeifunga dhamana hiyo baada ya Jeshi la Polisi kupitia kwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa (RCO) wa Tanga kuwasilisha pingamizi la dhamana kwa hoja ambazo mahakama imekubaliana nazo.

MWANANCHI

PIA SOMA:

 
Appeal atatoka, huyo hakima hana ubavu wa kukataa amri kutoka juu!~
Mungu amuue huyo hakimu afe usingizini
 
Baada ya mvutano wa siku kadhaa kuhusu dhamana ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana, Mahakama ya Wilaya ya Tanga imeuhitimisha kwa kufunga dhamana yake.

Uamuzi wa kufunga dhamana umetolewa Alhamisi, Septemba 5, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Tanga, Moses Maroa kutokana na maombi ya Jeshi la Polisi.

Kombo ambaye ni Katibu wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Wilaya ya Handeni Vijijini, anakabiliwa na kesi ya jinai, akidaiwa kutumia vifaa vya mawasiliano ikiwemo kadi ya simu ya mkononi isiyosajiliwa bila kutoa taarifa.

Licha ya mashtaka yanayomkabili kuwa na dhamana, mahakama leo imeifunga dhamana hiyo baada ya Jeshi la Polisi kupitia kwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa (RCO) wa Tanga kuwasilisha pingamizi la dhamana kwa hoja ambazo mahakama imekubaliana nazo.

MWANANCHI

PIA SOMA:

Haya mambo ya namna hii haya!!??

Tunazipa tahadhari Mahakama, zisiwe zinatumika kisiasa katika kukandamiza haki za msingi kabisa za Watu/binadamu, kwa sababu suala hili ni hatari Sana kwa usalama wa nchi na Wananchi wake. Ni Hatari!

Endapo kama Wananchi watakata tamaa au kupoteza imani dhidi ya Mahakama, kitakachofuatia ni dhahama kubwa Sana kwa sababu Watu watahisi kwamba haupo uwezekano wa wao kupata haki zao kupitia kwenye Mahakama badala yake wananchi watatafuta njia zingine mbadala za kutafuta haki zao, njia ambazo naamini kwa dhati kabisa kwamba hazitakuwa za halali. Innocent Civilians will feel that they have nothing to lose!
 
Appeal atatoka, huyo hakima hana ubavu wa kukataa amri kutoka juu!~
Mungu amuue huyo hakimu afe usingizini
Sasa hata akipewa dhamana na mahakama ya juu yake,Si bado hao polisi wataendelea kukaidi🤔??

Maana inaonekana wanaiona mahakama si lolote si chochote.Na bahati mbaya naye hakimu kabariki kudharauliwa wao kama muhimili.
 
Hawa mahakimu ndomana wanaishiaga kubaya

Ova
 
Sasa hata akipewa dhamana na mahakama ya juu yake,Si bado hao polisi wataendelea kukaidi🤔??

Maana inaonekana wanaiona mahakama si lolote si chochote.Na bahati mbaya naye hakimu kabariki kudharauliwa wao kama muhimili.
Maybe Judge aaweza akaheshimiwa.
Lakini ndhani Hakimu angelimpa dhamana, polisi wasingelimzuia hapa tulipofikia
 
Back
Top Bottom